Picha zote kwa hisani ya Sunday Shomary
MWANDANI WA BABY POWDER
PHILIP NKASA (Lambert "LBT" Tibaigana) ni kijana wa kitanzani anakwenda marekani kwa matumaini ya kupata elimu ili kuweza kuboresha maisha yake na ya familia yake nyumbani. Philip ananzaa maisha yake ndani ya marekani katika mji mdogo wa Wichita,KS na baada ya kumaliza shule na kushindwa kupata kazi ,Philip anakata shauri kwenda kujaribu bahati yake katika jiji la Atlanta, GA.
Mambo hayawi kama Philip alivyo tegemea upatikanaji wa kazi Atlanta unakua wa shida,ili kuendesha maisha Philip anachukua kazi ya malipo kidogo pamoja na kuaa ana degree...hali ya maisha ya wazee wake inaendela kua mbaya kutokana na mapato yake kidogo anashindwa kuwasaidia,Baada ya kugundua mfanyakazi mwenzake Mamdo (Albert Levasseur) anafanya biashara haramu, Philip anona nafasi ya kutatua matatizo yake...
Mambo hayawi kama Philip alivyo tegemea upatikanaji wa kazi Atlanta unakua wa shida,ili kuendesha maisha Philip anachukua kazi ya malipo kidogo pamoja na kuaa ana degree...hali ya maisha ya wazee wake inaendela kua mbaya kutokana na mapato yake kidogo anashindwa kuwasaidia,Baada ya kugundua mfanyakazi mwenzake Mamdo (Albert Levasseur) anafanya biashara haramu, Philip anona nafasi ya kutatua matatizo yake...
Lakini baada ya kuonja asali anachonga mzinga na kuingia katika biashara haramu kwa nguvu zote. kutokana na kukua kwa biashara yake Philip anaoneza msaada kutoka kwa vijana wenzake Tizo ( Carlos Mwaibulla) Chuma (Ulimboka GWAII Mwanjabala) Wesi (Hadji saidia) kwenye wengi hapa haribiki jambo lakini kundi hili linaubadilisha msemo huo....( mengi yana haribika)Philip anaingia mapenzi na mrembo kuoka Kenya WARIDI (Tuni Ngigi) ambaye anashindwa kumuambia ukweli kuhusu biashara zake,lakini za mwizi arobaini,Waridi anakuja kugundua...utamu unafikia kilele hapo.....
Majina ya waigizaji
Lambert Tibaigana- PHILIP NKASA
Lambert Tibaigana- PHILIP NKASA
Tuni Ngigi WARIDI
Carlos Mwaibulla TIZO
Ulimboka Mwanjabala CHUMA
Hadji Saidea WESI
Lydia Mbuah JOSELYNE
Warda Hassan JACKEY
Dynamic DULAH
Albert Levasser MAMADO
Babu sikare KAI
na wengine wengi....
BABY POWDER ni filamu inayo elimisha, sikitisha ,furahisha,na kutia moyo...na ni mkasa wa kuburudisha...Filamu hii haita toka kwenye DVD mpaka mkatikati ya mwaka 2010 nafasi pekee ya kuiona filamu hii ni wakati wa uzinduzi rasimi katika sehemu mbali mbal.
Kwanza kabisa BABY POWDER itazinduliwa rasmi:
*ATLANTA,GA November 14th 2009,
*HOUSTON,TX ( November 26th 2009)
*WASHINGTON DC ( December 5th 2009)
*MINNESOTA ( December 19th 2009)
tour ya AFRICA/EUROPE kuanzia DECEMBER 25th 2009
tembelea
www.jake-productions.com
au angalia
Eh bwana jamaa inaonekana wametulia na kazi zao! Mi naona Kanumba sasa akae mkao wa kula labda jamaa na wao Kiiglish kiwe kinagonga ugoko! Lakini nawaaminia babaake! Sasa miji mingine lini tunaomba tujulishwe mapema! Kazi nzuri bandugu !
ReplyDeletemtoto katulia, jicho jicho, mtoto we hata uki-act movie mwaah.
ReplyDeleteSawa Man City mmetufunga ila tutawafunga Bwawa la maini.
Arsenal oyee.
wanaume kama panya wanakimbia kimbia wakitafuta mashimo wajifiche.
kamwulize jackie chain kama kufanikiwa kwake kumetokana na kujua sana English,kwanza vile vile tuelezee English subject ulipata Grade gani?
ReplyDeleteYou are a stupid man, unajifanya kimbelembele ati kanumba cannot speak english, kama unajua sana Lugha inapanda sana tuandikie Essay.
outline:
explain about yourself, where are you from?,what grade did you get in English exam?
LBT.Houston tupo kukufagilia, tunaubiri baby powder, we got ur back Hongera na Kila la kheri.Gud Job!
ReplyDeleteTuni,tunu kwelikweli!! mtoto mzuri kama vile kafinyangwa!! jichojicho
ReplyDeleteMdau wa Juu
Fundi Imma kama nakuona vile henzi zetu za ufundi AFOL, mzeeyaa hapo husije ukafanya ufundi wa watu maana hizo konozii na hayo maua itakuwa tabu bdae...
ReplyDeletehUYO MBONGO ANAJIFANYA MJAMAIKA ANABOA SANA. ACCENT YA KIJAMAIKA WAPI NA WAPI?? WEWE NI MBONGO TULIA
ReplyDelete