Home
Unlabelled
mama pinda na mai waifu wa waziri mkuu wa korea kusini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
samahani naomba kuuliza , hivi hapo wanatumia lugha gani kuwasiliana?
ReplyDeletekiinglish
ReplyDeletewanatumia kimatumbi
ReplyDeleteMama kweli natural na anaonekana ameenda kikazi siyo matenge na viremba mavazi ya kinyumbani hasa kwenye ngoma na kitchen party.
ReplyDeleteMaoni tu.
wanatumia lugha ya viziwi(Sign Lang)
ReplyDeletewhy wanaweka kanga begani? Hapo wanatumia sign language maana Mama Tunu english iz not richabo kama Michuzi.
ReplyDeleteamevaa nii huyo Mama Pinda? najaribu kuelewa
ReplyDeletejamani nina swali...hivi ni lazima hawa wake wa waheshimiwa kuwa na vitambaa/mabegani??wat is the use of those things?maana sielewi naona ni mzigo and sometimes haviendani kabisa na nguo wanazo vaa na kama ni culture yetu sina uhakika na hilo for me thoz vitambaa are a big no
ReplyDeleteYes mama nanii mwaga sera unajua hao wakorea wapo juu sana wanaweza wakaja kurebisha mambo fulan fulan hapa nyumbani.
ReplyDeleteAcha dharau kijana..mama pinda ngeli imo...sio Maimuna huyo b4 that alikuwa na cheo kikubwa tu usalama wa taifa na hakukipata kupitia mgongo wa mtu ni mwanamke wa shoka huyo...ila balaa sasa ni huyo mkorea..
ReplyDeleteKweli kabisa wakorea not reachable kabisa atakuwa hamsikii kabisa ndio maana anatumia mikono zaidi kuelezea.Msiwadharau watanzania jamani kuna watu huku duniani Kiingereza sio dili kabisa na wako juu ile mbaya kiuchumi ukijua kiingereza sana halafu?
ReplyDeleteMweshimiwa waziri mkuu hana mpango wa kuongea na watanzania waishio hapa korea?? Naona viongozi wa TALIKO (Chama cha watz waishio korea) wamefanya kila njia lakini......au huenda hawajui kuwa kuna watz wanaoishi hapa..!!
ReplyDelete