Da' Chemi akiwa katika carnival na nanihii leo...


Hi Kaka Michuzi,
Nakukaribisha wewe na wadau wako mnitembelee kwenye blogu yangu SWAHILI TIME ili muone picha chache za Caribbean Carnival iliyofanyika kwetu Cambridge, MA, leo jumapili.


Kwa kawaida inafanyika mwezi Agosti, lakini walichelewa mwaka huu na kuifanya leo. Tunaaga summer (kipindi cha joto) nayo. Inaanzia Putnam Ave, na kupita River St. karibu napokaa.




Karibuni
Mdau Da'Chemi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. nimechungulia kule mambo safi sana lakini mbona we uliwategea wenzio!!!wenzako wamesaula lakini we umevaa kama unaenda UKWENI,next time tupe kitu na box kama ulishiriki onyesha ,kama ulikuwa mpiga picha tu sema!!!hii mijeans yako kwenye matamasha ya wa2 ya nini? ni bora ulipeperusha bendera ya Jamaika.

    ReplyDelete
  2. Chemi umekua sasa, nakukumbuka toka miaka ya Chuo Kikuu ulipokuwa kadogodogo!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...