Warembo wa Miss TZ wakiwa katia uzi wa kutangaza utalii. Ijumaa September 25, 2009 watakuwa na Miss Tanzania Day & Talent Show night ambapo wadau wanakaribishwa Giraffe Ocean View hotel iliyopo Kunduchi kushuhudia warembo wakichuana katika shindano la vipaji mbalimbali walivyojaaliwa navyo kuanzia saa moja jioni. kiingilio ni alfu 40 kwa kichwa na mshindi wa shindano hilo atabeba laki 5 keshi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...