bofya kimsalaba katikati hapo juu.
ukiona viduara vinazunguka kapime macho haraka!

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 17 mpaka sasa

  1. Umejuaje kama huwa vinazunguka....kapime!!!

    ReplyDelete
  2. je kama vina ruka ruka tu nifanyeje!

    ReplyDelete
  3. havizunguki ng'oo ila ni full pink
    miss michudhi

    ReplyDelete
  4. mimi naona vinatetemeka, je nifanyeje?

    ReplyDelete
  5. Uki click ka alama + miduara inazunguka

    ReplyDelete
  6. Mimi vimezunguka, je ina maana macho yangu mabovu? na mbona sijawahi kuwa na tatizo la macho hata kidogo?

    ReplyDelete
  7. Viduara havizunguki, lakini kama ukiangalia vizuri hilo duara zima upande wa juu kulia kuna nafasi moja iliyoachwa wazi, kwa maana kiduara kimoja cha pinki hakipo. Sasa basi hiyo nafasi iliyo wazi huama kwa haraka sana kutoka kiduara kimoja hadi kingine na kama hujaangalia vizuri utaona kama duara linazunguka..... NAAMINI NI MAZIMA SANA!!!!!

    ReplyDelete
  8. mbona nimevaa miwani na bado vinazunguka? ina maana miwani yangu ni mbovu ama macho yangu ndio mabovu....

    ReplyDelete
  9. Wote mmepita wima wadau ni hivi...
    Ukishabofya kimsalaba..angalia hicho kimsalaba tu (kwa ku-focus) baada ya muda viduara vyote vyote vya pink hupotea na kimduara cha kijani hubaki kinazunguka is kind of amazing coz ukiacha kufocus tu viduara vyote vya pink vinarudi.hilo la kupima macho naona jamaa kachemka.
    Daktari wa macho

    ReplyDelete
  10. DUWARA HALIZUNGUKI ILA HIZO TAA ZINA WAKA KWA MPANGILIO WA MZUNGUKO.KAMA MACHO YANGU NI MABOVU NIFAHAMISHE MAANA JUZI NILI BUSHANA NA DAKTARI HAPA MPAKA WENZAKE WAKAMWAMBIA MACHO YANGU NOMA.[dazd@windowslive.com].

    ReplyDelete
  11. Miye naona viduara vya pinki vinazunguka, halafu mara kinabaki kiduara kimoja cha kijani ndio kinazunguka...hapo inaashiria nini Braza? Nile michicha tu ntapona au na miye nahitaji mawani??

    ReplyDelete
  12. ..viduaraaa..vinaduarika..mmh, sijui mduara huuu, wa viduara..

    ReplyDelete
  13. Jamani mwenzenu naona kiduara kimoja tu cha kijani!

    ReplyDelete
  14. jamani me naona kama kuna ki2 kinazunguka kwenye ivyo viduara.mmh aya am on ma way 2 hospito

    ReplyDelete
  15. Hiyo nafasi iliyobakia ni ya kiduara nimekitoa makusudi ili niweze kuvihesabu hivyo viduara. Ilikuwa kila nikihesabu simalizi nazunguka tu. Kumbe viko viduara vya pink 10. Am genious!

    ReplyDelete
  16. Hamna cha ajabu hayo ni mambo ya illution
    ukitaka kuona zaidi ingia kwenye google na andika illution utapatamifano mingi tu.

    ReplyDelete
  17. mimi sijaona hata kitufe kimoja naona msalaba tu, au uzee unakaribia

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...