the kilimanjaro band a.k.a 'wananjenje' iddi mosi wamezindua kiota chao kipya cha kuduarika cha klabu ya salender bridge kwa kishindo ambapo mamia ya wadau walifurika hapo na kusherehekea idd el fitri kwa raha zao. baada ya kuondoka msasani club, wadau wameeleza kwamba safari hii njenje wamepata kiota muafaka kwa wapenzi wao kwani pamoja a ulinzi wao na mali zao, libeneke la njenje sehemu hii inanoga kuliko kawaida...

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. inaonekana show ilikua nzuri sana,lakini mbona hukutuonyesha sehemu hiyo ya umati wa watu walioudhuria onyesho hilo wewe umedili na stage tu?

    ReplyDelete
  2. Clip ni chini kabisa ya kiwango hivyo inaweza hata kudhuru tangazo hili likafukuza wateja kabisa huko njenje. Watumie fedha kupata fedha!

    ReplyDelete
  3. Hawa ni wataalam na wakongwe wa kutoa burudani ya muziki. Nyimbo zao ni hazichoshi kuzisikiliza.
    Ni jambo jema kupiga muziki ktk sehemu yenye usalama wa hali ya juu na parking ya kutosha.

    ReplyDelete
  4. Michuzi wewe Michuzi, hizi nyimbo zinaumiza roho. Wengine tuko mbali na mambo haya. Ila asante kwa kutuonjesha angalao Eid Mubarak

    ReplyDelete
  5. Eti na tigo pia mmmh wewe mithupu unavijimambo.

    ReplyDelete
  6. Sasa dada yetu jaffary yuko wapi? maana tunamuona jide yupo vekesheni kama yako huko kusini mwa bara letu lakini yupo na my hausbendi wake kaptaiiiin lakini hapo san diego hatumuoni jafaryhmes

    ReplyDelete
  7. Home sweet home...nakumbuka enzi zangu...si mchezoooo.

    ReplyDelete
  8. haya na nyie kila siku nyimbo moja tu kutumechoka tafuteni nyimbo mpya tangu mwanangu ana miaka mitatu mpaka sasa ana miaka kumi na tano kutia nazi kunoga inatosha mmefuria.

    ReplyDelete
  9. SAAFII SANA NJENJE, ENDLEENI KUILINDA BURUDANI HALI YA BONGO.

    LINI MTAFANYA ZIARA ZA UGHAIBUNI?

    ReplyDelete
  10. Old is Gold inanikumbusha mbalii jamani na pia inanikumbusha home thank u bro michuzi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...