muonekano mpya wa kilaji cha ndovu kilichozinduliwa karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Hii ni kumkata kilimi Heineken na Tusker! Hapo patamu hapo mi nangoja tu Beer War II itakapoanza baada ya EA Brew kuingia ubia na Serengeti Brew.!

    Lazma nije Bongo kuwakawaka!

    Safi sana bravo TBL! Utawazoa ma-sister du wote!

    ReplyDelete
  2. mwali mpya amenoga sana kwa nje, I hope hata ndani pia....

    ReplyDelete
  3. Sasa tunataka watutengenezee ambayo ukinywa unajihisi kama ume- do hiyo itapunguza kasi ya Ngoma, Pia ukiamka asubuhi inakuwa haina mning'inizo juu hata kidogo, yani unakuwa na fresh mind kabisa.....hapo nitawapa tano!

    ReplyDelete
  4. najua kwa nini maoni yangu umeyatia kapuni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...