Home
Unlabelled
VODACOM FOUNDATION YAFUTURISHA MJINI WETE MKOANI KASKAZINI PEMBA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hongera sheikh Issa Mufti wa UK tunakumiss.
ReplyDeleteKi-historia kuna sababau yake: teknolojia ya jangwani, mahemani sio vizuri kuwa na meza, kama tulivyokuwa pia hatuna meza.
ReplyDeleteLakini leo hii kwani ni lazima wakae chini majamvini?
ustaadh mwakifulefule rudi darasani ukajifunze mkao!
ReplyDeleteVoda mmezidi huduma mnapeleka kwa viongozi kutafuta sympathy zao, juzi bagamoyo jana pemba kwa daftari. embu siku nyingine futulisheni sokoni kariakoo, ebo
ReplyDeleteVodaCom kama mmeamua kufuturisha kweli na si kutafuta soko, wafuturishe wasiojiweza achana na hao wenye uwezo!!
ReplyDeletemdau wa 10:02 am umenena kweli kama wanataka kufuturisha wafuturishe na maskini sio hao ambao wana mihela mpaka wanataka kutapika.
ReplyDeleteni kweli futurisheni wasiojiweza alaa kila kukicha mnatafuta so called "masoko mwanya" wa wakubwa
ReplyDeleteila duh mwala na mkono??adi raha