Home
Unlabelled
vodacom foundation yafuturisha na kumwaga misaada kigoma
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
masheikh kwenye mambo ya maakuli tu huwatoi hao ona kanzu zao na vibaghalashia vyao hivyo hehe...
ReplyDeleteanony wa kwanza asante kwa kuyatoa hadharani ambayo huwa unayaficha moyoni mwako,
ReplyDeletena pia kutuonyesha kiwango chako cha akili na uelewa.
Inshaallah siku moja Allah(SW)atakuongoza katika njia iliyonyooka.
AMEEN! huyo mdau wakwanza nadhani si muumini wa dini yeyote! Huna adabu wala heshima, mara ngapi tumeona masista na maaskofu wanapokea misaada au wapo kwenye tafrija na huwezi kuona mtoto wa kiislamu anadharau viongozi wa dini namna hii. Siajabu huyu mtu hata siku moja hajafunga from surise to sunset. Kwanza unazungumzia watu wliofunga! Allah tunakuomba umnusuru huyu mja wako mpotevu!
ReplyDeleteMtuma maoni wa kwanza ulikuwa huna haja ya kuandika upuuzi wako huo wa kijinga na kitoto Tanzania ni nchi ambayo ina ushirikiano wa ajabu sana katika masuala ya dini ndio maana utakuta wakristo wanasheherekea Eid na waislamu wanasheherekea Krismas sasa kama unawachukia sana waislamu si bora unyamaze tu au kama una ubavu nenda msikitini ukawaambie wenyewe uso kwa uso halafu uone watafanyaje. Uhuni mwingine hauna maana hata kidogo sijui mwenyewe unafikiria ni sifa. Dunia hii kama huna la kusema funga kinywa chako utakuja kujikuta pabaya siku moja kwa ujanja mwingi.
ReplyDeleteHongereni Vodacom kwa kufuturisha katika mwezi wa Ramadhani. Kwa hakika mmefuturisha sana mwezi huu. Ila sasa mbona hao Masheikh hawaondoki hapo mbele japo weshapakua?? Yani wananywea uji hapo hapo???
ReplyDeleteVODA WANGEWASAIDIA ZAIDI WANAKIGOMA KWA KUNUNUA MAFUTA YA MAWESE WAYATENGENEZAYO BADALA YA KUNUNUA TOKA KWENYE VIWANDA VIKUBWA WAKATI HUOHUO WANAWAPA MSAADA WA MASHINE YA KUKAMULIA MAWESE, WAKAMUUZIE NANI WAKATI VODA WANASHINDWA KUYANUNUA?
ReplyDeleteBinadamu kweli hajui kushukuru, akipewa kidole anataka mkono mzima!!
ReplyDeleteSasa Vodacom inunue mawese iyapeleke wapi na kuyafanyia nini? Yaani kisa imeamua kusaidia basi kila kitu ifanye Vodacom tu? Wewe unayesema ingenunua mawese unafanya nini? Vodacom imeshawasaidia kuweza kuyakamua, nawe saidia kwa kuyanunua, nyambaf...au kaa kimya!