Pole na kazi, vijana wako wa Jake Productions pamoja na kundi zima la BABY POWDER tulibahatika kukutana na Bolozi wa Tanzania ndani ya USA Mh. Ombeni Sefue, akiwa pamoja na mwandishi mkongwe wa vitabu Bw.Elvis Msiba (wa Willy Gamba).
Tunapenda kumshukuru Mh. Balozi kwa ukarimu wake kwani pamoja na mvua kali alichukua muda wake kutusikiliza na hata kupiga picha na sisi!! Yaani ni mtu simpo ila kichwa ile mbaya. kwa kweli hapa tuna balozi.
Tafadhali angalia Trailer II
ama tembelea
www.babypowderthemovie.com


Mwili umenisisimka niliposikia jina Elvis Musiba na Willy Gamba,ama kwa hakika huyu mwandishi alikuwa akitupa raha sana enzi zetu zile maana utamu wa hadithi zake ni kuzidi baadhi ya movies kibao tu nashangaa kwanini sikuhizi amekuwa kimya sana.Mdau mwenye data zake alipo huyu bwana na atuhabarishe si vibaya tukijua pia anafanya nn na je kimya chake kina mshindo au???
ReplyDeleteatleast wangevaa vizuri au balozi asinge piga picha nao.hamna heshima hapo hata kwa wazungu hamna hiyo kwa kiongozi kupia picha na pajazzzz labda sijaona.heshima hupotea.
ReplyDeletekwani kuna ubaya gani kwa wao kuvaa hivyo. hakuna ubaya wowote kwa balozi kupiga nao picha. hii sio nchi ya talaban. MKENYA
ReplyDeleteMzee Musiba alivutiwa na juhudi za dhati za vijana wa Baby Powder na akapendekeza Waifanye movie ya Kisasi (Willy Gamba) kuwa project inayofuatia. Mazungumzo zaidi yatafanyika na mtajulishwa! Kwa ufupi tu huyo ndio mzee Elvis Musiba na Baby Powder!
ReplyDeleteHUYO MWANDISHI ANAITWA MUSIBA NA SI MSIBA , ELIMU YETU INAUTATA KWELI.
ReplyDeleteWEWE 11:24:00 HIZO SIO PAJAZZZZ INAELEKEA UNAIGA TU. WAPO WAAFRIKA WENGI TU IKIWEMO WATANZANIA WANAOVAA NGUO ZINAZO ONESHA SEHEMU NYETI ZAIDI YA HIZI AMBAZO NI ZA KAWAIDA TU NA HAZINA UBAYA. HATA HIVYO NI VIZURI NAWE UMESHIRIKI KUTOA MAONI KWENYE BLOGU YA JAMII.
ReplyDeletewabongo kwa kuponda bwana....
ReplyDeleteanyways,,,,baby powder iko juu tena juu.
i see you warda...go girl!
Waziri kavaa suti Hao WamariTZ na vichupi!!!!! au ndio maendeleo utamaduni wa kitanzania upo wapi hapo. Loh vijana wekeni heshima kwa wakubwa zenu
ReplyDeleteBalozi mwenyewe anafurahia pajazzz.
ReplyDeletegood job guys.....i can't wait for the movie to be out.wawaaa jake production.BABY POWDER is the bomb!!
ReplyDeleteHAWA KINA MAKABWELA BWANA WAKIFIKA HUKO MAJUU NDIO WANAJIFANYA KAMA WAMEZALIWA HUKO
ReplyDeleteNDIO NINI SASA KUONYESHA UPAJA UPAJA WENYEWE UNA MADOADOA KAMA CHUI HEBU FUNIKENI HUO USAFIRI WENU WA KUPANDIA MILIMA YA KULE KWENU
MKUU WA KITONGOJI HEBU WAWEKEE HII WAIONE KESHO WASIRUDIE KUWEKA UPAJA WAO NJE YA KADAMNASI