hasheem thabeet akiwa na madojo na domo kaya katika onesho la muziki bustani ya mnazi mmoja garden jijini dar miaka kadhaa ilopita. pamoja na kucheza mpira wa kapu hasheem pia ni mpenzi wa muziki ambapo alikuwa anaonekana kwenye matamasha mengi kama mshiriki na vikundi vya wanamuziki wa kizazi kipya

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. bustani itakuwaje garden tena!!!!eti anko nanihii haya mambo ya kusema barabara ya morogoro road yanatokea wapi tena!

    ReplyDelete
  2. Huyu sio Hasheem Thabeet bali ni Edgar Mwakipesile.Sio kila mtu mrefu ni Hasheem.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...