President Jakaya Mrisho Kikwete welcomes World Trade Organisation(WTO) Director general Pascal Lammy at the Dar es Salaam State House this afternoon.The two leaders held talks at the state House

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. mheshimiwa mpe ngumu nyingi huyo ndio wanao tu lost kimaendeleo!
    pk

    ReplyDelete
  2. DUH! Mbona huyo Director wenyewe kachonga hivyo?utafikiri anatoka kwenye mapigano,hata shati na suruali zime-mvaa yeye.au Michuzi amekosea ni WORLD THIN ORGANISATION na sio WORLD TRADE ORGANISATION!!!

    ReplyDelete
  3. Wewe Tanzathens unadhani kuwa ukiwa mheshimiwa lazima unenepeane kama walivyo viongozi wetu? Huyo jamaaa Mr.Lamy yupo hivyo hivyo sijawahi ona picha yake akiwa mnene..Atanenepa saa ngapi wakati majukumu kibao yanamsubiri na yeye pia mtu wa mazoezi.VIONGOZI WETU IGENI MFANO HUO.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...