Home
Unlabelled
simba sc yaongoza kwa ubora duniani?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Hahahahhaha sikujua kwamba Yanga wamefulia kiasi hiki.....Na bado kipigo kinawasubir uwanja mpya tarehe 31st Oct.....Nahisi Yanga watatoa timu half-time kama kawaida yao!
ReplyDeleteSimba au Liverpool????
ReplyDeletehii ni document ya kuchonga..msitutishe
ReplyDeleteTatoo nimekupata, siyo kivile lakini base iko correct - michezo iliyochezwa na wingi wa points bila kujali ubora ligi. Inakujakuja hivi, nimeipenda.
ReplyDeletemkuu michuzi liverpool ya ngapi, sijaona sawasawa na hiyo karatasi ingepigwa picha ya karibu zadi isomeke
ReplyDeletesasa nimeamini sio kila anae tembea barabarani mzima... wewe uliyetuma hako ka video show board kako itabidi upimwe akili... sio kila mtu anashinda kuangalia video huko uswahilini... au unamaanisha vingine na sio "simba sc yaongoza kwa ubora duniani" manake zamani mlikuwa mnaandika sijui "leo usiku wali kuku" kumbe mnaonyesha kale kamchezo sasa sirikali ikawashitukia... usione aibu sema tu kama utaonyesha kale kamchezo
ReplyDeleteAlieichonga/iandaa hii ni SIMBA, ila kibao kikibadilika asisahau kutengeneza nyingine. Ligi zote bado changa naona keshajipa ushindi. Hahahahahahaah
ReplyDeleteMtu unakaa chumbani kwako kukiwa na giza nene baada ya mgawo kuchukua nafasi yake, then unafikiria jinsi unavyoipenda timu yako mbovu ya Simba. Kesho yake asubuhi unakimbilia internet cafe' halafu unachapisha mawazo yako na kuombea umeme usikatike kabla huja-print. Baadaye unakimbilia kwa braza Michuzi na kumwomba aweke mawazo yako kwenye globu yake. Ama kweli wabongo ni wabunifu. Tunahitaji mtu kama wewe kusaidia kupata ufumbuzi wa matatizo yanayoifanya nchi yetu kuwa maskini mpaka leo hii. Ha ha ha....
ReplyDeleteAaaahh...Tottenham Hotspur ya nane..imemfunika hata mtani wetu wa jadi, the gooners (sorry, the gunners)
ReplyDeleteSimba bado tunatisha, tumemfunika hata Manure (Sorry, Man U)
HATUDANGANYIKI
ReplyDeleteTimu kubwa haina hata kiwanja cha mazoezi!
ReplyDeleteKWA LIGI ANAYOCHEZA SIMBA ILITALIWA AWE NA POINT ZAIDI YA 100 HADI HAPO HALIPO.KULINGANA NA NCHI ZINGINE DUNIANI.
ReplyDeleteMDAU MONEY UK.
hahhahahah safi sana mdau Simba Oyeeee wenye wivu wajidhuru
ReplyDeleteukisikia mapepe ndiyo haya. simba katwaa ubingwa oktoba? toba!
ReplyDeletelakini jamaa kafikiri saana mpaka akaibuka nii. siyo siri mpira unapendwa ila timu zetu bongo ndo zinatuangusha.
hiyo ni sawa na kuweka vichuguu na mlima kilimanjoro na kuvilinganisha.acha utoto
ReplyDeleteAungurumapo SIMBA HUCHEZA NANI? anguruma, anguruma nguruma, .......
ReplyDeleteSimba oyeeeeeeeeeeeeee. yote tisa kumi YANGA Mmefulia haijalishi kulinganisha mlima kilimanjaro na vichuguu kilichopo ni kwamba haijafungwa toka msimu uanze. atakaekasirika na akasirike ila huo ndo ukweli. eeeee kidedea, titititiiitii, eee kidedea.
Tarehe 31/10/2009
ReplyDeleteYANGA 3 SIMBA 0
inawezekani hiyo chati ikawa ni ya kweli kwa sababu katika nchi ya vipofu mwenye jicho moja ni MFALME.
YANGA MPO JUUU!!!!!!!!1
HII NI BABU KUBWA NIMEIKUBALI, TUNATAKA UBUNIFU KAMA HUU, NAKUFAGILIA ULIYETUMA HII WAAAAAA, SIMBA NDIO PEKEE AMBAYO HAIJAPOTEZA GEMU KWEMYE LEAGUE ZOTE HAPA DUNIANI KWA MSIMU WA 2009/2010, MWENYE WIVU ALE GOGO LAKE MWENYEWE
ReplyDelete....Hee hivi siku ya wajinga duniani imehamishiwa October? M.T.
ReplyDeletehata kama kuna kaubunifu alichokifanya mdau, lakini ukweli una baki palepale kuwa simba ndio timu pekee ambayo aijafugwa mpaka sasa katika ligi zote muhimu hapa duniani. sasa kama una wivu nenda kajinyonge lakini ukweli ndio huo.
ReplyDeleteJapo mimi ni Simba lakini niseme haya matatizo ya umeme yanatupeleka pabaya sasa. Ukiileta Manchester United icheze na Simba tutatafutana, Simba itapata droo tu.
ReplyDeleteDuh! ka ni hivo, then timu yetu ya Mishkaki FC inaongoza duniani maana ina point 30 kwa michezo kumi iliyocheza(( hahaahahahahaaaa!!!
ReplyDeleteWewe unayesema timu yenu ya Mishkaki imeshinda mechi 10, Hiyo timu ipo daraja la ngapi kwani hizi timu zilizotajwa hapo juu nadhani unazielewa zinacheza daraja la kwanza kwa kila nchi. Na leo tena Simba kashinda hivyo ni 27 point
ReplyDeletemkuu fanya ku-update apo juu......LEO wamebamiza mtu tena.....9*3=27!!!!aiseeeeee!
ReplyDelete