Home
Unlabelled
wadau wamuenzi mwalimu kwa michezo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
This is all good but I wish you guys were celebrating his birthday instead of celebrating his death, labda kama munafurahia kufa kwake!
ReplyDeleteIt's called celebrating his life.
ReplyDeleteWhy not celebrate his life on his birthday?? I gues that was Kaka Trio's question.
ReplyDeleteBinafsi nimemuenzi JKN kwa kufanya shughuli zangu binafsi za kilimo, ili kuienzi falsafa yake ya Ujamaa na Kujitegemea.
ReplyDeleteHii siku imekuwa kama siku ya michezo ya kuigiza, UNAFIKI mtupu, watu kumuenzi Mwl kwa matembezi, kucheza, mapunziko ya kikazi, maandamano, kufanya usafi n.k. Lakini kwa wale wanaojua maana Kumuezi Mwl ni zaidi ya haya yote. Ni mambo gani ya msingi Mwl alituachia? Tunapata nafasi ya kutafakari kula mtu binafsi anavyoyatekeleza yote? Ujamaa+Kujitegemea+Leaders accountability+Usawa wa binadamu+ n.k. tunayatekeleza je kila siku? Sio swala la kuadhimisha siku moja, ni continous process. Ni aibu tupu na unafiki kwa mtu au chama chochote au kikundi chochote cha watu kisichofuata falsafa ya Mwl kwa vitendo kila siku kufanya matembezi, kucheza, maandamano, kufanya usafi kwa siku moja n.k. Angalikuwepo Nyerere nadhani kuna watu angewafukuza wasifanye haya maigizo wakitumia jina lake.
Kaka trio hapo juu, shughuli hii inaitwa "kuadhimisha" sio kusherehekea au kufurahia kama unavyosema. Kumbukumbu ya kifo haisherehekewi!!
ReplyDelete