Sasa wateja wa benki ya Azania wataweza kutuma pesa zao kwa njia ya simu wakitumia M-Pesa. Kati ni Mkurugenzi wa huduma za kibenki wa Benki ya Azania, Togolani Mramba, akimsikikliza kw makini wakati wa hafla iliyofanyika katika ofisi za Benki hiyo sasa hivi. Kulia ni Meneja wa tawi la Azania Harun Mushi.
Home
Unlabelled
azania bank kutoa huduma za M-Pesa kwa wateja wake
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...