chocolate princess akipanga viatu vya
kinababa alivyotua navyo punde toka italy
chocolate princess akiwa kavalia viatu vipya
toka italy na mkoba akipanga viatu vya kinababa
mikoba orijino viatu vya nguvu
mikanda ya ngozi kweli
ushindwe wewe tu. viatu vyote ni vya ngozi kweli
Duka lipo Msasani kwenye jengo la Talk of Town maduka ya nyuma
Namba ya simu 0715 117788






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 20 mpaka sasa

  1. Kweli biashara matangazo!

    ReplyDelete
  2. Safi sana, aminia...

    ReplyDelete
  3. Hongera Michuzi kwa kuwapa 'tafu' wajasiliamali kwa kuwabandikia matangazo yao katika Blog hii maarufu. Na wao wawe wanakumbuka kuinakshi blog kwa anagalau kumzawadia mdau wa milioni 8!!. Hatuna shaka na wale wa minuso, maana huwa tunaona anagalau vipapatio unaambulia!!

    ReplyDelete
  4. duh,"duka lipo kwenye jengo la talk of the town,kwa nyuma"wow,i think there is a need for postal codes and addresses.shame on you GOv.

    ReplyDelete
  5. KWELI HUYU DADA CHOCOLATE PRINCESS.
    LAZIMA NIMTAFUTE

    ReplyDelete
  6. Je na mambo ya kina mama hana au ndio anawauzia waume za watu tu

    ReplyDelete
  7. .....Mhhh kweli MBONI siku hizi katulia.Mungu akubariki uzidi kupata.

    ReplyDelete
  8. Kifua kimetulia dada yangu. Hongera. Wateja lazima watakuja tu kukuona

    ReplyDelete
  9. Si wa-Italia walitungea kiwanda cha viatu hapo Morogoro...na kuviza viatu vyetu huko kwao na kwingineko duniani wakati sisi tunazidi kupekua!

    Hivi hao mafundi wetu wa wakati huo hawakuweza kuiba hiyo teknolojia, kama walivyofanya wa-Japani na wa-China?

    Sasa tumebaki mawakala wa Italia tu, kama hizo picha!

    Tutengeneze viatu vyetu na tuachane na uwakala, kama tunataka kuendelea!

    ReplyDelete
  10. I hate importation. kila kitu tunaagiza na kusifia vitu vya watu. Vingekuwa vimetengenezwa na viwanda vyetu vya home ningekusifia lakini kwa kusifia cha wazungu, huna jipya. Kalaghabaho !!

    ReplyDelete
  11. Onyesha vya wanawake basi au ana pea moja tu aliyoivaa

    ReplyDelete
  12. Na talk of town ndio nini? Hao waliolipa hilo jengo jina basi wangesema talk of the town...agh!

    ReplyDelete
  13. duka ni maalum kwa wanaume kama yy alivo maalum kwa wanaume

    tutakuja tu mtoto chocolate

    ReplyDelete
  14. Tatizo hapo kcc tunabei zetu? au ndio bei za mafisadi tu.

    ReplyDelete
  15. NGALAWA ZIMETULIA KINOMA..KUHUSU BEI USIWE NA WASIWASI KWANI HUNA MACHO?!!...BUY ONE ...AND GET ONE FREE....!

    ReplyDelete
  16. LA, HIZO CHOKOLETI ZAKE KIFUANI ZIMEIVA KWELIKWELI.

    ReplyDelete
  17. Mashallah hii kitu Mboni lazima itakuwa Tanga line.

    Jamani hili duka ni kwa ajili yetu Mapedeshee. Pea moja ni kuanzia Tshs. 120,000/=. Mliozoea viatu vya elfu 20 na elfu 30 nendeni Kariakoo na Manzese.

    ReplyDelete
  18. Acheni kumtukana dada wa watu mimi mbona nimeona mikoba ya kike na viatu katika shelf ya juu kabisa katika picha ya kwanza ?

    ReplyDelete
  19. ...nimechanganyikiwa na kifua. Naomba dawa na simu sista.

    ReplyDelete
  20. KWELI BIASHARA NI MATANGAZO HAYA BIDHAA ZOTE TUMEZIONA NI NZURI KUANZIA HUYO MWENYE MALI MPAKA BIDHAA ZAKE VYOTE VINALIPA

    TUTAKUJA KUWEKEZA USIJALI.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...