Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. Clement Mshana akizungumza na watoto yatima katika kituo cha Saint Joseph kilicho chini ya Medical daughters of Mery jana jioni.Katikati ni Mkurugenzi wa kituo hicho sista Chrispina Mnate.
Juu na chini Mkurugenzi wa Idara ya Habari Bw. (MAELEZO) Clement Mshana akikabidhi msaada wa vitu mbalimbali vikiwemo vyakula na vifaa vya shule kwa watoto yatima wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Saint Joseph eneo la Kiseriani nje kidogo ya jiji la Arusha jana jioni. Msaada huo umetolewa na Maofisa habari wa Wizara, Taasisi na Wakala za serikali wanaohudhuria mkutano wa tano wa Maofisa habari jijini Arusha.
Picha na Aron Msigwa – MAELEZO.





Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...