Home
Unlabelled
konozzz na Baba T
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi tunamhitaji yule mzee anayechambua mechi bwana !!mbona kama hizi mechi simba na yanga au man united na the blue,au yale maini ya benitez,hizi zoote ni habali tunazohitaji yule babu aje hapa kwenye blog atuchambulie habali.Michuzi fanya nguvu tumuone bwana.Mdau wa sous korea.
ReplyDeleteMichuzi mkanda umeongeza tobo,Usibishe.
ReplyDeleteMichuzi bin masalo nakuona umesimama na mzee banny spear au ni macho yangu tuu yamekosa mawani yangu leo nimeipeleka kwa fundi?
ReplyDeletekaka mich mfanye utaratibu wa hizo curtains basi,mwambie boss mnunue zile official-one hizo za vitambaa zitolewe siku nyingi sasa imetosha ona zinaanguka sasa.Ni mimi mwana TSN-Salma.
ReplyDeleteWALIKUJA WAKATI MWALIMU NYERERE NI RAIS WETU ALWAPATIA MAKAZI YAO PALE MBEZI BEACH KWA MSOMALI WA INTERNET NYUMBA YA MAKONDE UPANDE WA KULIWA WAKATI HUO HAKUKUWA NA BARABARA YA LAMI NA LILIKUWA PORI TU NYUMBA ZILIISHIA MWENGE BUS STAND TU BAADA YA NI LUGALO THEN PORI TU NA BARABARA MBAYA SANA, MAENEO YOTE HAYO YA MBEZI WATU WALIKUWA WANALIMA MPUNGA NA MIHIGO TU
ReplyDeleteMichuzi, ilo pazia ukutani lahitaji marekebisho kidogo. Ebu waeleze wahusika kama hawalioni.
ReplyDeletehuyujamaa anaongea kiingereza cha kijamaika, nalikuwa namsikia enzi zile akiwa RTD external service na mziki yake ya reggae. ukisikia ma rasta ndo huyu orijino. mbogamboga tu na vitu simpo, hana makuu na mtu, nilipita kwake tukanyw maji bombani (ya moto utadhani yametoka kwenye birika) hakukuwa na umeme enzi zile huko tegeta kwa hiyo hakuna friji. jama alitukaribisha kama anatujua vile, baada ya dk chache tukasonga mbele (braza wangu alikuwaga anasaka kiwanja cha kujenga huko minazini kwa wamakonde
ReplyDelete