Home
Unlabelled
mdau neshno
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kweli huyu baba ni mdau sana,jezi,bendera pamoja na mwanae.
ReplyDeletehope mtoto atakuwa kama baba yake.
Nina differ nae kwa Simba tu,lakini tuko wote Gunners mie Yanga damuu kabisa toka enzi na enzi.
Daud,NY.
arsenal,liverpool na chelsea wote yanga tutolee shombo uko.simba ni man utd ..vipi wewe???
ReplyDeleteMadu kama mh. Masha vile?naomba ufafanuzi,ndie au siye yaani kama yeye kabisa.
ReplyDeleteKumbe Masha ni Simba?
Hayo ni mawazo yako-yaani mtazamo wako man u sio simba.
ReplyDeletewewe ndio tutolee shombo la feri.
Hongera mdau umependeza sana na mwanao.kweli ushindi mtamuu.MIchuzi hapo kama amepigwa sindano ya ganzi=mr no comment.
ReplyDeletechangia?????
LIVERPOOL NI KIDEDEA NA KIDEDEA NI SIMBA TAIFA KUBWA. WASHABIKI WA MAN UNITED SI WAMEANZA 91 tu HAPO. ILA TUWACHE KUHUSU TIMU ZA NJE MAMBO YOTE SIMBA TAIFA KUBWA. JUMBE.
ReplyDeleteNakumbuka mwaka 1990 kipindi Simba inatesa ilikuwa inafananishwa na Liverpool ya kina JOHN BARNES,leo wanafananishwa na MAN U. Washabiki wa Simba vigeu geu.
ReplyDeleteWadau hawawezi kuchekelea ushindi wa bongo bila kuingiza mambo ya mkoloni?
ReplyDeleteNzuri sana mh. Masha kama ni yeye ,maana kweli wamefanana sana.
ReplyDeleteNitajitahidi nikutafuta mechi ya mtibwa kwani nipo bongo kwa sasa.still remember you mzee wa fitna a.k.a Dr Omary my former collegemate ,you was a very good VP of our student organization that time.vipi ndoto yako ya ubunge bado ingalipo???
Boma D- aka Mochimochi
sio masha wala nini hawafanani kabisaaa. hongera unaonekana u baba mzuri unatoka na mwanao.
ReplyDeleteNapenda wababa wanaspend na watoto wao hata kidogo tu...hamna kitu kizuri kama hicho na ambacho mtoto atakikumbuka maishani...
ReplyDeleteumnunulie mtoto wako expensive things namna gani kama huna one to one time with your baby is nothing
Kweli huyu anaonekana ni baba mzuri na bora,kwa hali iliyopo sasa sio wazazi wengi ambao wanapenda kwenda out na watoto wao- sababu ni nyingi.ningependa nipate contact za mdau huyu kama unazo kaka michuzi ili nimpongeze sio ,we ona mtoto yuko very happy nadahani huko shuleni kwake hadithi ilikuwa ni hiyo-hongera baba a.k.a Kansope.
ReplyDeletearsenal nayo ugonjwa wa moyo tu,wanafunga watoto wakikutana na wakubwa kichapo.
ReplyDeleteHongera ndugu yangu,mie niko hoi kwa kipigo hicho.Pian Gunner leo wamepiga mtu 4-1.
ReplyDeleterafikio - MPakistan.
Nina swali naomba msaada wa majibu. Natanguliza shukrani.
ReplyDeleteNaomba kujulishwa sheria ya Tanzania inasemaje kuhusu mwalimu wa sekondari anayempa mwanafunzi wake uja uzito. Nijuavyo mimi ni kuwa taifa linawaamini walimu wawalee vijana na kuwapa maadili kwa manufaa ya taifa. Mwalimu anapokiuka jukumu hilo na badala yake akawa preditor kwa wanafunzi walio chini ya uangalizi wake - naamini kuna sheria kali itamkabili. Naomba hasa majibu kwa maswali haya:
1. Hilo kosa liko katika category gani ya makosai?
2. Mshitaki ni nani?
3. Mkosewa ni nani - ni wazazi wa binti au ni taifa?
4. Taratibu za kufuata hiyo sheria zikoje?
5. Adhabu yake ikoje - yaani inaweza kuwa ni nini?
6. Je, kuna tofauti kama binti ana miaka 18 au zaidi?
7. Kesi kama hizo zimeshawahi kutokea na kushughulikiwa kikamilifu kwa kufuata sheria? Kama ndiyo, kuna mifano yoyote? Kama hapana, ni kwanini?
Natanguliza shukrani
Selina Mushi
Chicago
=================