Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari Tandahimba, Mama Julia Kariati, akiwa na uso wa furaha baada ya kukabidhiwa mfano wa hundi yenye thamani ya shillingi 2.5m/- kwa ajili ya ununuzi wa madawati ya shule hiyo. Makabidhiano ya msaada huo kutoka benki ya NMB yalifanyika wakati wa uzinduzi wa tawi la NMB Tandahimba mkoani Mtwara
Mwalimu Mkuu wa Shule ya Sekondari Tandahimba, bibi Julia kariati, akiwa na wafanyakazi wa
NMB tawi la tandahimba katika picha ya pamoja baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya shillingi 2.5m/- kama msaada toka benki ya NMB kwa ajili ya ununuzi wa madawati ya shule hiyo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. hizo hela zinunulie madawati kweli hakuna kukata panga ni za madawati tuuuu na hivi xmas inanyemelea hayo madawati hayo anyway

    ReplyDelete
  2. Hela kama hizo zingepitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)zingeweza kudhibitiwa na wale TEA wangehakikisha madawadi yananunuliwa. Kuwapa shule hela moja kwa moja sio sawa kabisa pia NMB hawarudi tena kuhakikisha kama kweli hayo madawati yamenunuliwa. Hiyo kazi ingefanywa vizuri na Tanzania Education Authority (TEA).

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...