

NMB tawi la tandahimba katika picha ya pamoja baada ya kupokea mfano wa hundi yenye thamani ya shillingi 2.5m/- kama msaada toka benki ya NMB kwa ajili ya ununuzi wa madawati ya shule hiyo
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
hizo hela zinunulie madawati kweli hakuna kukata panga ni za madawati tuuuu na hivi xmas inanyemelea hayo madawati hayo anyway
ReplyDeleteHela kama hizo zingepitia Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA)zingeweza kudhibitiwa na wale TEA wangehakikisha madawadi yananunuliwa. Kuwapa shule hela moja kwa moja sio sawa kabisa pia NMB hawarudi tena kuhakikisha kama kweli hayo madawati yamenunuliwa. Hiyo kazi ingefanywa vizuri na Tanzania Education Authority (TEA).
ReplyDelete