Home
Unlabelled
swali la kizushi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Chicago asubuhi na jioni foleni ni mtindo mmoja hivyo sishangai kabisa kuona hiyo foleni japo wapo organized. Je hiyo ni nchi gani tupeane mawazo?
ReplyDeleteDu hiyo nchi wanaadabu kwel kama nyuki vile,ingekua bongo ni soo daladala zingekula wing kama kawa au wanaita kutanua yaan ingukua vurugu tupu.
ReplyDeleteUnajua madereva wakiwamo wamiliki wa magari baadhi yao hawana subira wawapo barabarani. Mimi nionavyo foleni za Dar ni typical ya majiji yote duniani. Foleni haikwepeki mradi inamove. Foleni inakuwa kero pale ambapo magari yamekuwa yamesimama hayaendi. Otherwise foleni za dar magari yake yanatembea. No sweat man Kama hutaki foleni tembea kwa miguu.
ReplyDeleteNafikiri hapo sio traffic jam ya kila siku. Inawezekana kuwa hii ni jam wakati watu wanakimbia New Orleans wakati wa Hurricane ya Katerina. Blackmpingo
ReplyDeletebongo inaitwa poleni kutokana na kutokwenda kwa hiyo foleni.lkn kimamtoni inaitwa foleni pamoja na kuwa na foleni lkn ngoma inogile yaani inakwenda.
ReplyDeletehiyo siyo Mrorogoro road maeneo ya Kimara kwa msuguri ?? kweli bongo tambarare
ReplyDeletehiyo inaitwa bumper to bumper,asubuhi na jioni ukitika mzigoni.train an trams oyeee.
ReplyDeletetuite lifoleni
ReplyDeleteunajua kuna foleni ila gari zinatembea,
ReplyDeletesasa msituwekee tu picha bila maelezo
je hizi zimesimama au zinatembea, bongo gari hazitembei bwana acheni utani kabisa. pili uliyeweka hii picha mbona iko advanced sana njia nane kasoro na inavyoonshe zinapishana yaani zimetengwa zinazokwenda na zinazorudi.
in short naona haina uharisia na bongo!
hii hapo ni sumatra, indonesia. hii foleni imenizingua mpaka imenibidi nibadilishe kazi na waindonesia wengi wanasumbuliwa na foleni hii. In fact hii foleni imeshasababisha waziri wao wa miundombinu kujiuzuru kwa kushindwa kutafuta suluhisho la kudumu la hii foleni
ReplyDeletekutuonesha foleni ya namna hiyo aina maani sisi ni afadhali.kwanza uwezi jua je kulikuwa na ajari au road maintenance hila mtazamo wangu mimi ni tofauti ni juu ya hiyo picture,ningesifia hiyo barabara ni first class laiti kama bongo ingekuwa kama hiyo nazani kusingekuwa na foleni
ReplyDeletewee mdau wa chikago nilikuja chikago sijaona barabara mbovu kama za chikago hata hiyo traffic itakalia wapi?
ReplyDeleteHiyo ni Reading...United Kingdom!!!
ReplyDeleteMambo ya LA hayo sema hapo LA DK 30 Ishakwisha Eneo Moja Dar-es-salaam Hapa mtu unakaa Masaa mawili. Ndosi
ReplyDeleteNchi ambayo ina barabara zake pana sana na mult lanes ni Marekani. Hata natural vegetation inaonyesha ni nchi ya marekani. New York State, New Jersey State, Maryland state, Illinois State na Califonia state foleni kama hii ni mtindo mmoja hasa kipindi cha Thanks Giving, X-mass na Mwaka mpya wanapoadhimisha kivyao.
ReplyDeleteNakumbuka siku niliendesha gari kwa saa tatu umbali wa maili 20 kwenye barabara ya Garden State parkway nikitokea kazini wakati watu wakiwahi kuungana na familia zao kula Thanks Giving holiday miaka mitano iliyopita
for the first time nimesikia hii thanksgiving day hapa china...ni nini hasa?nini kinafanyika kwa sababu gani?
ReplyDeletekuhusu lifoleni naona ni tatizo la kidunia....kila sehemu kuna foleni, na kila sehemu kwa portion yake...kwa magari machache ya dar na barabara mbaya na finyu za dar foleni ni sawa tu na hii....uzuri mwingine hii hakuna kutanua/kupita pembeni kama daladala za tz.
Hii picha si halisi kwa barabara kubwa namna hiyo huwezi kukuta foleni za namna moja kila upande! Najua waosha vinywa mtakataa lakini busara ya kawaida inaonyesha hivyo. Mmoja kasema asubuhi na jioni ni kweli lakini siyo pande zote. Mwingine anasema Katrina hiyo ingeeleweka sasa hapo hao wanaoelekea upande wa Katrina wanajitoa mhanga?
ReplyDeleteThanksgiving day inajieleza. Ni siku ya kutoa shukrani kwa ndugu, jamaa, marafiki, Mungu, nk.
ReplyDeleteNi siku inayo adhimishwa kwa kula Turkey (Bata mzinga).
hi wapendwa hii picha sio mbaya kama wenzangu waliotangulia kucomment kikubwa ni kwamba kwa sisi wabongo cha kujifunza pale ni kubadili bara bara zetu na kuwa za kisasa zaidi.kwani hata Uk tuna foleni lakin magari yanatembea sio kama bongo ndugu yangu, bongo magari sio meng kama ukifananisha na nchi nyingne zilizoendelea na zinazoendelea. Kikubwa kwetu tuige taswira hiyo kwa kupigania haki zetu serikalini so then wajenge barabara.
ReplyDeleteyangu ndio hayo
UKITAKA ONA BARABARA PANA SAFI NENDA GERMANY NA CHINA, BARABARA NYINGI ZA NCHI ZA ULAYA NA AMRICA NI ZA MUDA MREFU NA NI MBOVU KWA MFANO ZA UK NI MBOVU AJABU KILA SIKU VILAKA TU NA SI LAINI NI MATUTATUTA TU UKO KWENYE GARI UNACHEZA SINDIMBA. HATA SAUDI ARABIA ZA KWAO NI BOMBA UKILINGANISHA NA UK. IT IS AN OLD COUNTRY WITH OLD FASHIONED ROADS.
ReplyDeleteangalieni vizuri kuna mshkaji anataka kuvuka barabara apo
ReplyDeleteWatu wajibu swali:
ReplyDeleteHii iitwe foleni ambapo magari yanasimama na kuondoka ndani ya muda mfupi.
hivi wadau msululu huu wa magari inakuwaje ukiharibikiwa na gari, sababu sioni hata hard shoulder.
ReplyDeleteJamani tusijipe moyo kwa kujifananisha na hiyo foleni ki uongo uongo.
ReplyDelete1.inaonesha kuna msululu na sio foleni na physics yangu ndogo tells me gari ziko kwenye motion hapo.
2.wenzetu wamejaribu kutafuta solution,at least barabara nyingi.sie hadi leo hatuna barabara yenye more than 4 ways.eti tupo kare ya 21
3.ingekua kwetu hapo ungeona hiace imechomekea the wrong saiti,bajaji,magari yana-keep left
na right at the same time
Na mengineyo
hiyo ni copy and paste hiyo. cheki magari yanafanana ya mbele na nyuma yake kwa wingi. mtu huyu alitulia kuifanya kazi hii; lakini bongo ni orijino.
ReplyDeleteAisee, bonge la foleni. . lakini hii picha mbona naona kama kuna sehemu mtu katuchezea akili ili tuone hali ni mbaya kuliko hali halisi ya huko??!! Look carefull ktk barabara ya juu upande wa kulia. Kuna lorry fulani na pembeni yake kuna sehemu identical!! Mambo ya cut n paste hayo. . . look at the details. . . si ya kweli hii picha.
ReplyDeleteMheshimiwa sana Kaka Michuzi, nadhani tukiangalia sana suala la uhaba wa ardhi kwa nchi za ulaya ni ngumu kupanua barabara.Hata baadhi ya nchi za bara la asia zinaupungufu wa ardhi ya wazi kama China kwa vile sehemu kubwa kwenye lundo la mlima everest hakukaliki.
ReplyDeleteNchi ya Tanzania na ardhi kubwa isiyokaliwa bado na watu au kutumiwa kiwa shughuli za kilimo. Hali kadhalika Marekani huwezi amini kuona mapori mnakubwa yasiyotumika bado hivyo kuwa na uhuru mkubwa wa kutandika mkeka wa lami kama uonavyo.
Nchi nyingi kama ulaya bado zinatumia round about ambapo mnarekani kila mji imewekwa round moja tu pembeni kabisa huko kwa ajili ya kumbukumbu ya mambo ya kale (musium). Ramp tu ndo zinaunganisha Highway hakuna traffic light Highway. Kujaribu kujenga bongo iwe tambarare hivyo sawa na kufata kunya kwa tembo.
Muhimu bongo kuongeza barabara nyingi zaidi zinazopitika wakati wote hakutakuwa na folleni tunayofikiria kwani magari yako wapi?
utamu ni kuwa huku foleni huwa zinatembea siyo bongo mbuzi kagoma
ReplyDeleteHII PHOTO NI MAREKANI KWANI NDO INCHI PEKEE AMBAYO MAGARI YANA-KEEP RIGHT,NAUKIANGALIA KWA MAKINI VEGETATION INAONYESHA KWAMBA HII NI CALIFORNIA.CALIFORNIA INAONGOZA KWA INFRASTRUCTURE MAREKANI.WABONGO HII NDO INATWA FREE WAY,HAKUNA TRAFIC LIGHTS HUMO.MAMBO YA IN-RAMP NA EXIT RAMP TU
ReplyDeleteGari ziko kwenye motion kivipi?? Foleni ni foleni tu jamani. Kuna wabongo hapa tumewahi kuwa nje ya TZ pia foleni huwa zipo... hasa asubuhi na jioni. Haijalishi zimesababishwa na matengenezo au la foleni ni foleni tu. Hata foleni ya hapa bongo nayo inasababishwa na vitu mbali mbali ina maana hivyo vitu vikipatiwa ufumbuzi foleni itapungua. Sasa watu hapa wana tetea foleni za huko nje... sijui inamaanisha nini. Swala ni yeyote mwenye nafasi ya kufanya mabadiliko hapa kwetu ajitahidi kuitumia nafasi hio vizuri kwa faida ya wote la sivyo tutabaki kutetea nchi zingine hata kwa vitu "-ve".
ReplyDeleteNi parking kaka
ReplyDeletehiyo ni yard ya kuuzia magari pale Sinza
ReplyDeleteHapo ni Manzese ah no i mean Buguruni ahh yaani mbagala ndo kuna road ka hizo. hii si foleni bali kibaka kazuia road baada ya kumkwapulia mshikaji kamobitel kake.
ReplyDeleteBye
Bp
Hiyo si picha halisi ni ya kutengeneza Mambo ya fhoto shop xgq200 Na alie itengeneza kakosea jambo moja gari za rangi ya bluu zimekuwa nyingi zaidi kiasi lazima kwa wataalam watajua tu kwamba ni image ya bandia. Mdau Majuto -USWIDI
ReplyDeleteAnon 07:08 PM anakahoja ka msingi ukiangalia kwa makini unagundua magari yanajirudia kufanana kwenye lanes tofauti....Huu mchezo wa kuigiza huu...watoto wa kiswahili huwa tunauita kanyaboya....
ReplyDeleteMisaada Raisi K unayoomba day and night tengeneza barabara bwana na siyo kujilimbikizia na barabara zimejaaa mshimo, magari hayaendi unasimaa for 2hrs sehemu ya kwenda 30minutes, pia madereva kuweni na adabu mambo ya kujipachika na kupiga bao acheni mnasababisha barabara kujaa mashimo na kukosa kutoka ukishajiegesha ubavu halaa!
ReplyDelete