Home
Unlabelled
tembea uone
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
he he he he!this is funney,if that's the case women must be telling him often Hassan Dont kill me....... how lucky is the guy. teh teh teh teh mabvu sina.
ReplyDeletehahaha haki ya Mungu english is a national epidemic...hata wewe mdau wa juu badala ya funny umeandika funney...sumu ya mchonga hiyo.
ReplyDeletebiashara matangazo, kwa lugha hiyo watalii watailewa na kumiminika restaurant na hassan atapata fedha za kigeni
ReplyDeletewhy women?.
ReplyDeleteHassan ni mbunifu na tangazo ni zuri sana, kingereza hata chako kibovu vilevile, nimelipenda sana.
hehehehehehe hii mwanzo mwisho mbavu zangu ehheheheheh balaa hili
ReplyDeleteVery funny!! Well anajaribu ku-promote biashara yake, afadhali yake, na kwa level yake he is trying his best. Nadhani anahitaji kusaidiwa kuboresha tangazo lake, marketers please....... .
ReplyDeleteha ha haa hili tangazo liko juu nimecheka kisawasawa duh watu bwana
ReplyDeleteHii mgahawa unamilikiwa na John mashaka. Sasa kwa nn kaamdika kiingeleza kibovu? Wakati yeye ndo jiniasi
ReplyDelete...isn't the first post as "funney" as the commericial itself? Just like Hassan, whoever posted it is really "funney" and probably creative. Who would have thought, twenty years ago, that googling would come to mean whatever it means today (if anything)...
ReplyDeletehahahaha, Hassan don't kill me kwa kucheka jamani!!
ReplyDeleteha ha ha... huyu jamaa ni mbunifu sana na anastahili pongezi, ona alivo draw attention za watu hapa, nakwambia atatengeneza pesa yake ki ulaini kwa tangazo hilo, biashara ni ubunifu, ha ha ha..
ReplyDeletemgahawa huu ndio wa hassan hafidh wa northampton? aliniambia anafunga duka northampton anaenda kufungua mgahawa zanzibar
ReplyDeleteHasan hongera usibadili kitu acha hivyo hivyo italeta wateja zaidi kwani mwenye njaa ataelewa tu.
ReplyDeleteHata mimi nimelipenda ile mbaya,keep it up
ReplyDeleteHahahaaa,sio mchezo, nimeona namba yako ya sim muheshimiwa Hassan,nitakutafuta ili nijue ktk mgahawa wako kuna misosi gani,inaelekea patakua pametulia kinoma,hiyo ni lugha tu kila mtu amekuelewa vizuri umemaanisha nini.
ReplyDeleteau kakosea herufi or not lkn one thing he got it right,lugha iko simple and anybody who's the language ataelewa kiulani.big up Hassan an don't change it.hiyo "Hassan please don't kill me with food" will get peeps attention kiulaini.haha
ReplyDeleteThis is too funny, yaani nimecheka mpaka naumwa mbavu!...LooooooooL! kweli tembea uone!
ReplyDeleteSafi sana, nimependa hiyo.
ReplyDeleteOooooohh!Mama mbavu zangu!!Hassan you've made me cry with laughter!!!Yaaani...naona itabidi nije Zanzibar nipate huo mlo ili nije piga ndimi!!!Haaa haaa!!!Kwwiiiii kwiii!!!You've just made my day.Nimefurahishwa pia japo lugha haikuandikwa sawa ila ujumbe umetufikia.Keep it up.Mkubwa ...Mkuu wa wilaya ya nanihii hebu tupe full address ya pale kwa Village Reastaurant ya Hassan.Iko kipande ipi ya Zanzibar...na tunakata kona gani kuifikia??
ReplyDeleteAnon wa 04.25 kama kingereza kingekuwa kibovu wewe ungeelewa? Cha msingi ujumbe wa Hassan umefika na biashara yake inashamiri.
ReplyDeleteNAFIKIRI JAMAA ANAJUA SANA KAMA KAANDIKA KINGEREZA KIBOVU ILA NDIO KUSUDIO LAKE KUVUTIA WATU
ReplyDeleteNa hivi Hassan kabandika namba yake ya simu nahakika watu humu ndani watampigia. Na wale watakaotembelea visiwani watapatafuta kwa Hassan wakaonje hicho chakula chake..
ReplyDeleteJamaa nampongeza kwa kua mbunifu, anajua kua kisiwani biashara ya utalii ndio imeshamiri ndio maana kaandika kwa kingereza. Kwahiyo target yake sio kwa Waswahili pekee.
Kidhungu/ung'eng'e/yai/kimombo ni global issue hasa watz,huyu jamaa ni mbunifu,inawezakana anajua yai la kuonbea maji lakini aliamua kuteka hisia za watu,si mumeona hata mablogger tumeguswa!
ReplyDeleteCheck hii-Mzungu alifika ugenini,akamwomba mwenyeji amwelekeze alikokuwa anatakiwa kufika,
Mswahili-You snake this way weeeeeeeee,then you bit corner,there there you will see the house,
maana yake-Nyoosha njia barara hii,kisha kata,ndio utaona hiyo nyumba
Yahke huko kuna uroja wa kufa mtu!
ReplyDeleteasani yu hav leaaly made my dei!
ReplyDeleteBiznes is about marketing safi sana naipenda keep it up
ReplyDeleteooooh i've foleni in lavu with this
ReplyDeletehassan thank yu,,,ntakuja mbona???
simu nimeiona
Mithupu ngoja nikwambie kitu mmmh ! kule kuna waitaliano wengi wajapani, wachina, wakorea na wameoa wa zanzibari na kuslimu sasa unategemea nini jamani ? si kila kithungu kibovu kinatoka kwa mtzd eh mbona hawa wabeba mabox wanashoboka jamani ? rudi jumbanieeee kasalimie unguja aliimba Ali kibaka heee!! hawaelewi huyo ni muitaliano yewomiiiiii
ReplyDeleteYakhee! Angeandika kwa lugha safi wala hiyo picha isingepigwa na kuletwa hapa!
ReplyDelete