Belinda Mlingwa alikuwa MC kwenye hafla hiyo maalumu kwa watoto na wazazi wao katika ukumbi wa Diamond hall jijini Dar wikiendi hii, ambapo wabuni mitindo wakubwa walipanda stejini na kuonesha vipaji vyao vya kusaka rhumba katika onesho la hisani kusaidia watoto waishio kwenye mazingira magumu lililoandaliwa na Tanzania Mitindo House.
mbuni mitindo farha sultani alicheza midundo ya kihindi akiwa na madansa wa THT
mbuni mitindo zamda george akicheza na msanii hemedi na wana THT





Kudoz kwa wanamitindo na waandaaji!
ReplyDeletemustaffa ametumia nini? mbona amepungua kiasi hicho? atuambie tunataka kupungu. hata hivyo mwambie inatosha. asipungue zaidi
ReplyDeleteKweli, hivi Mustafa amekuwa na programu gani effective kiasi hicho kwa sababu muda ni mfupi sana kufikia hapo alipo. Michu, tunaomba jamaa atusaidie kujua alivyofanya siye tuliobakia. Mimi nafanya mazoezi kiasi asubuhi, nakula mlo mmoja kwa siku, nimepunguza sana ulaji wa sukari na sukari related foods lakini uzito haupungui wala kuongezeka. Nataka nipige chini 10 kilos at least.
ReplyDeleteAlly kajitahidi sana kutoka kama Fari Ipupa natamani ningekuwepo nione huo mselebuko. Well done guys!!
Haha, those guys had fun. Sisi huku tunabeba maboxi tu, life is not fair.
ReplyDeleteitanichukua muda kuzoea umbo la Mustapha hasanali kwani kila nikiangalia picha hizi akiwa amepungua nasikia kulia jamani amepungua kupita kiasi napenda kupungua lakini hapana imezidi kama ana sumbuliwa na moyo au sukari kha!
ReplyDeleteKudoz Tanzania Mitindo House! What you are doing for the kids is wonderful and I am sure they had a great time. Mwenyezi Mungu awazidishie muendelee na moyo huu na awaongezee pale mlipopungukiwa ili tuweze kuendelea kuwasaidia watoto wetu hawa. God Bless
ReplyDeleteHaiwezekani mtu apungue ghafla hivyo. Hiyo ni opereshen tu. Kajiona unene umezidi, akakwea pipa Sauz kufanyiwa opereshen.
ReplyDeleteMh! Wewe Franko mchiriku toka lini ukaujua. Ila nakuaminia. Unakuja juu kwa kasi unanitisha! Kazi nzuri.
ReplyDelete