anko akiwa na mdau julius palacio, mmbongo anayeendesha klabu cha usiku cha palacio mjini bujumbura ambapo usipokanyaga baada ya kutua katika mji mkuu huu wa burundi utakuwa hujitendei haki. maana nyama choma, vilaji na muziki wa nyumbani ni pake
bendi ya palacio ikitumbuiza kwenye kiota hicho
anko alibahatika kukutana na wadau toka bongo ambao walimzungusha mji wa bujumbura. hapa ni katika kiota cha maraha cha havana akiwa na (toka shoto) sam, mzee lyimo na wajina wake anko lyimo. bahati mbaya usiku huo huo tukapata habari ya msiba ambapo mdau sam ilibidi aondoke kuja dar kwenye msiba wa dada yake. pole sana mdau sam kwa msiba huo mzito.



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. hehhehe ahhh julia naona umefika mbali man dah tumekumiss ile mbaya,tupo india now wote yani.from masesa'z familly,mod lov man and keep t happenin in bujumbura hahaha

    ReplyDelete
  2. POINT YA KIPUMBAVU: hawa watanzania warudi nyumbani kuendeleza taifa badala ya kuwekeza nchi za nje .BONGO KILA KITU KIPO .

    ReplyDelete
  3. Nimesikitishwa sana na habari za msiba wa dadake Sam.Poleni sana Rehema,Sam,Pele na familia Shelukindo kwa jumla.
    Mdau Ughaibuni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...