wanenguaji wa twanga pepeta otilia boniface (mbele) na sabrina mathew wakiwajibika kwenye mnuso mmoja wa nguvu usiku huu katika ukumbi wa ubungo plaza. hawa ni mabingwa wa kunegua wanaoipaisha twanga pepeta hivi sasa
otilia na sabrina wakifanya vitu vyao






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. inamaana aisha madinda kafulia?

    maskini alikuwa kinara kwelikweli

    maisha hayaaaaaaaa

    ReplyDelete
  2. Bro michuzi nakuomba uwe unatuwekea clips za live shows hata sisi wa huku ughaibuni tuwe tunawaona hao maana imekuwa ni siku nyingi.
    fanya za twanga,Fm,akudo na wengineo

    ReplyDelete
  3. ...lakini Michuzi ni kweli bwana, maana fleva zinaboa kishenzi, wimbo mmoja tu mtu umeshachoka kwani hakuna jipya. hatutaki masuala ya kujifanya black americans wakati wanatuchukia, tuwekee vitu vya nyumbani kama hao Twanga, msondo, Nginde, n.k....natunguliza shukrani!

    ReplyDelete
  4. Otilia Boniphace unatisha kwa kweli, kipaji unacho tangu ulivyokuwa mdogo na tabasamu la ukweli pia.

    Nakutakia mafanikio katika kazi yako.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...