Home
Unlabelled
diana ibrahim ndiye kisura wa tanzania 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Michuzi acha utani bwana...
ReplyDeleteHivi sijaelewa, ina maana kila Kisura lazima afanane na Alec Weck?
ReplyDeleteIna maana hawa dada zetu warembo kwa standard za Mwafrica wa kileo hana na fasi kwenye kisura?
i gues vigezo vya urembo Bongo ni tofauti kabisa na duniani thats why hata mashindano yote ya urembo world wide waga tuko nje ya mstari kabisa.....
ReplyDeleteKwakuwa majaji wameamua kuwa hao ndio washindi basi lazima tukubali..tukizungumza kinyume na hapo ni majungu,tunawapongeza washindi wetu
ReplyDeletemh hii kali sasa n its too much!mashindano mengine yasitishwe kama mmekosa kabisaaaaaaaa warembo!KISURA indeed!
ReplyDeletehuyo mrembo balaaaaaaaa
ReplyDeletekweli tz tumeishiwa warembo
duh hii noma..nilijaribu kupunguza makali kwa kuwakubali warembo na majaji ila kusema ukweli waosha vinywa wamenishtua na mimi nakubaliana nao kuwa kama hawa ndio visura wa bongo kweli bongo visura kwishinehi...
ReplyDeletendio maana tz hatutakaa tuendelee n'go, hebu watayarishaji wa mashindano haya tafuteni darasa kwanza msome, mjue ni nini kinahitajiwa kuwa mrembo wa mahali popote, ndio mje muandae mashindano haya, elimu muhimu kwanza kwa waandaaji, la sivyo jitoeti kabisaaaaa muache kuibia watu hela zao. au kakodisheni warembo kwingineko duniani. lo aibu kwenu wote.
ReplyDeleteThey are not serious.
ReplyDelete