Wapenzi Wasomaji,
Kwaheri Ukoloni, Kwaheri Uhuru!
Zanzibar na Mapinduzi ya Afrabia, si kitabu tu bali ni changamoto ya kuujenga upya msingi wa Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano na Tanganyika.

Tupia jicho kiungo kinachofuata na kuwa tayari kukipokea kitabu kwa lugha ya Kiswahili ambacho kitairudishia nuru ya macho jamii ya Kizanzibari na ya Kitanganyika, pamoja na wasomi, wanasiasa na watafiti, waliowekwa ndani ya giza nene la upotoshaji wa zaidi ya miaka 45 wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano wake na Tanganyika.

Utaweza kuzipata habari za lini na wapi
utakipata kitabu ukijiunga na kiungo kifuatacho:
http://www.facebook.com/group.php?v=photos&ref=mf&gid=196157673651#/group.php?v=info&ref=mf&gid=196157673651

Natanguliza shukurani.
Harith Ghassany

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. ona kiroja kingine iki!!!!

    ntakuelewa ukisema Pemba Unguja na Tanganyika basi,khaaa utafikiri ni nchi kuuubwa si mjitenge???

    ReplyDelete
  2. Ukoloni bado upo kuliko ulivyokuwa, sasa hivi tumetawaliwa na mkoloni mweusi (Watanganyika). Ule wa zamani ulikuwa na barka nyingi sababu znz ilikuwa ipo juu kwa kila kitu but huu ukoloni mweusi umeiua znz sn sn. Ni kheri yule mkoloni mweupe kuliko mweusi usiombe daaaaaa.

    ReplyDelete
  3. yooooooo michuzi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...