
AGNES KATHLEEN SHAURI
Mpendwa mama yetu leo umetimiza miaka miwili tangu ututoke Dec. 19, 2007.
Umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika. Unamkumbukwa sana na mume wako Bishop Shauri, watoto wako, wakwe zako wajukuu zako, ndugu zako wote ukoo wa Chipungahelo na Shauri na marafiki zako wote.
Ukarimu wako, ucheshi wako na moyo wako wa kusaidia watu hautasahaulika.
Umetuachia changamoto kubwa ya kuiga mfano wako wa kujitolea na kusaidia watu bila kuchoka.
Uendelee kupumzika peponi mpenzi wetu mama.
Tunaamini umetuachia maandiko haya ili yatufariji 2 Timothy 4:7-8
Amen
Mpendwa mama yetu leo umetimiza miaka miwili tangu ututoke Dec. 19, 2007.
Umeacha pengo kubwa ambalo halitaweza kuzibika. Unamkumbukwa sana na mume wako Bishop Shauri, watoto wako, wakwe zako wajukuu zako, ndugu zako wote ukoo wa Chipungahelo na Shauri na marafiki zako wote.
Ukarimu wako, ucheshi wako na moyo wako wa kusaidia watu hautasahaulika.
Umetuachia changamoto kubwa ya kuiga mfano wako wa kujitolea na kusaidia watu bila kuchoka.
Uendelee kupumzika peponi mpenzi wetu mama.
Tunaamini umetuachia maandiko haya ili yatufariji 2 Timothy 4:7-8
Amen
Rest in peace.
ReplyDeleteSiamini miaka miwili imepita
Tunajua uko pema peponi
Rest in peace Bibi Shauri. We love you but God loved u most. I remember ur kindness and cherishness when we came to Liuli with my late father back in 1999 with Habitat. May Godbless all the family and give them joy.
ReplyDeleteMjukuu wako wa Atlanta, Ga
DK
mchuzi asante kwa kuweka makumbusho ya bibi yangu Agnes Shauri. i see that she have touched so many people. i miss and love her so mutch. but you know we are not ment to live on earth forever for now. when my time is ready i will see her up there with jesus.
ReplyDeleteRip Bibi shauri,tulikupenda sana lakini Mungu alikupenda zaidi.
ReplyDelete