bomoa bomoa ya majengo makuukuu kupisha mapya inaendelea kwa kasi jijini dar, ingawa kasi hiyo haijaelekezwa pia katika miundombinu kama vile mifereji ya maji taka na safi, sehemu za maegesho na kadhalika. bila shaka wahusika wanajua wanachokifanya. hapa ni katika mduara wa mtaa wa jamhuri karibu na DTV

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...