Home
Unlabelled
pinda amtembelea mzee apiyo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jamani nisomesheni kidogo: nani alikuwa Katibu Mkuu Kiongozi wa kwanza: Apiyo au Rupia? Mungu awabarikie katika sikukuu zijazo
ReplyDeleteMzee Apio alikuwa amelazwa Sauz, whats wrong with Muhimbili?Hii sio hospital ya kila mtu?
ReplyDeleteMzee Apiyo alikuwa KM Ofisi ya Rais hadi alipostaafu 1985 au 1986 (alipotimiza miaka 55). Aliyemfuata katika nafasi hiyo ni Balozi Paul Rupia. Kwa hivyo, kama sikosei Mzee Apiyo an umri wa kati ya miaka 78 na 79. Namwombea Mzee Apiyo kila la heri. Mdau "Former civil servant".
ReplyDeletemuhimbili haiwafai tutenda sie tu ndo maisha bora kwa kila mtanzania
ReplyDeleteHivi kwa nini huyu mzee hakuuziwa hata ka servant quarter Oysterbay???
ReplyDeleteUandaliwe utaratibu kabla ya kusaini mikataba MINONO mabwana wakubwa wa sasa wawe wanapelekwa kuhiji "Sitakishari" kwa Mzee Apiyo, kuna mengi ya kujifunza. Wazee wetu hawa ndio walikuwa watumishi wa "kiukwelii".
Mzee Apiyo na wengi tu wa namna yake wanakula pensheni ya "mateso". Huyu ni Katibu Mkuu kiongozi jee akina nanihii wako vipi? Ukweli unabakia kwamba watanzania hatuna mipango ya muda mrefu ya akiba za uzeeni. Bado twategemea watoto na jamii watutunze. Tubadili tabia na mienendo jamani!
ReplyDeleteChristina Apiyo, uwapi shosti?
ReplyDeleteNi-beep please tvzkicartoon@gmail.com