Naibu Waziri wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Mh. Dr. Aisha Kigoda akizungumza na waandishi wa habari wakati akitoa tamko la siku ya ukoma duniani. mjini Dodoma leo. Kilele cha siku ya ukoma itaadhimishwa wilayani Kilombero MKOANI Morogoro Januari 31, 2010
Waandishi wa habari za Bunge wakimsikiliza Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Mh.Dr. Aisha Kigoda wakati akitoa tamko la siku ya ukoma duniani mjini dodoma. Picha na mdau Catherine Sungura wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii

sasa huyo Dada wa Kike hiyo not buuk ya karatasi ya nini tena wakati ana elektronik not buuk hapo?
ReplyDeleteSi angeandikia tu humo kwenye laptop? Sasa kuna haja gani ya kubeba zigo lote hilo, bega linauma halafu huitumii?
Au betri ilikwisha?
Tuite SIKU YA KUTOKOMEZA UKOMA,au KUPAMBANA NA UKOMA. tukiita siku ya ukoma naona kama tunaushangilia.
ReplyDeleteYangu ni hayo wadau