Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Bro. Mithupu umenikumbusha mbali sana enzi za ujana wetu wakati tunayaruka magoma YMCA na Rungwe Ocean

    ReplyDelete
  2. Duh Thx bro Michuzi kwa kunipa Taswira ya zamani . kweli tumetoka mbali kwa maana umenikumbusha enzi za YMCA wakati huo wewe unakaa Aggrey. mangomani wewe ndie uliyekuwa unatufotoa na picha mtu unazipata week inayofatia , unapewa picha yako na negative hahahahaha hakuna mambo ya digital. mabingwa wa kucheza disco wakati huo YMCA na Mbowe wanajulikana kina Tony,Sabri, Bandawe,Maulid Tewa . big up mkuu tunaomba uwe mara kwa mara ukituletea vitu kama hivi.
    mdau Leicester UK.

    ReplyDelete
  3. Du! wakati Bilicanas ikiwa Mbowe!
    Dj Kalikali

    ReplyDelete
  4. 'Nhamba Dance', 'We are Number One','Soul Train', 'Zanzibar','Weekend Special', 'Brigadier Sabari', 'Dancing on the floor', 'Going Back to My Roots'

    kweli tumetoka mbaliiii na pembeni yupo Michuzi na still camera yake kufotoa, tukachukue picha kwa Bakhresa Riddoch Motors kesho mchana!

    Mdau
    Jijini London

    ReplyDelete
  5. Du! nimejaribu kusikiliza hilo song lakini sijasikia neno ZANZIBAR,kweli aliyeimba zanzibar ni huyo jamaa lakini hicho sicho kibao chenye hilo tittle,tafadhari hebu tuwekee kibao Zanzibar sasa, manake munkari ulisha panda

    ReplyDelete
  6. Aliyesema Rungwe beach hizo zilikuwa zetu sie wadogo sasa ndio tupo 25.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...