Ankal Michuzi,
Nathani ni muhimu ku share na Wadau;
Jana nilikwenda Pale TCC Club Chang’ombe na nikakuta penye ubao wa matangazo kuna vitu kibao vilivyookotwa na mdau mmoja kapoteza funguo za gari. Nikajiuliza maswali kibao
Je, aliondokaje?
Je, kuna watu wanatembea na funguo
boya za kuweka juu ya meza tu?
Kama kweli kapoteza swichi,
basi na aende TCC Club amwone meneja
Mdau Chang'ombe
na
ahaa kaka ya mji huu makubwa watu wana switch za BM X 5,VOGUE ,ML CLASS wanaweka mezani kibishoo hiyo cku nimemuona dada du leaders anatikisa za benz naenda kupanda dala dala nakuta naye yumo kweli mjini akili kichwani na hatuami hata kam hatuna ki2 kweli mjini raha
ReplyDeleteMbona sijaona simu zilizopotea zikining'iana hapo?
ReplyDelete