Ankal Michuzi,
Pole na kazi kubwa uliyonayo ya kujulisha watu yanayojiri ulimwenguni hasa ya nchini kwetu Tanzania.Tunafurahishwa sana na kazi yako.
Nauza gari aina ya
SUZUKI GRAND VITARA 2.0,
AUTOMATIC GEARBOX,
2.0 LTR PETROL ENGINE,
4 WHEEL DRIVE,
POWERFUL A/C

kwa bei poa ya 16,500,000/= Tshs tu.
Kwa mawasiliano ili kuiona na kupata
habari zaidi wasiliana na
Henri 0757407355
au
Marco 0714257594.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 11 mpaka sasa

  1. Muuzaji haupo serious kwanini hujaweka information zote muhimu?
    1. Ni ya mwaka gani?

    2. Imetembeka Kilometer ngapi toka ianze kuwa barabarani?

    3. Je ni V6 au V4?

    4. Je kwa nini unaliuza?, umelibamiza ukalitengeza, limekushinda kwa sababu ni V6 linabwia sana mafuta

    Halafu bei yako siyo practical kabisa japo ni ya kuanzia. I mean too much kwa Grand Vitara V6

    ReplyDelete
  2. Mr Michuzi hii gari ipo Uk na siyo dar es salaam,Kwa bei ya UK ni pound 2000 -2500 ,wadau wa UK mbona mnakuwa wajanja hivyo.Milion 16 ni uzushi ni vyema atakayetaka kununu ni bora anunua Vitara Grand new model kwa pound 8000.Wabongo mnaliwa hapa

    ReplyDelete
  3. hio gari iko bongo,kama uko serious piga simu ukaione,imetoka UK na imelipiwa ushuru,insurance etc,wewe unaesema gari kama hio UK ni £2000-2500 ni kweli,ila kumbuka sio zote bei ni sawa na hali ya gari inatofautiana,na hio £2500 jumlisha freight na ushuru pale Dar
    vilevile usisahau hii ni biashara

    ReplyDelete
  4. kumbe ni biashara?!!!. Mbona mayadi kibao

    ReplyDelete
  5. Referring Anon Jan 18, 04:27:00AM.

    FOB £2500
    Insurance £500
    Freight £1500
    Taxes £3015
    Total £7515
    Rate 2130
    Total approx 16m

    It is a fare price, jamaa yuko sawa.

    ReplyDelete
  6. weka information muhimu za hiyo gari, kama alivyokushauri OMARY hapo juu, unaficha nini?,

    ReplyDelete
  7. Hiyo bei yako, bora utembelee mwenyewe.Grand Vitara with full options haifiki bei yako huyo. Gari hata haina alloy wheel.

    ReplyDelete
  8. simple maths,
    Cost - FOB GBP 3000
    Freight& insurance GBP 1000
    Total CIF GBP 4,000
    Change to dollars @ 1.63 = USD 6,520
    Change to Tz shillings @ 1340 = TZS 8,736,800 CIF Value
    import duty 30% = 2,621040
    VAT 18% = 2,044411.20
    CLEARING CHARGES 1,000,000
    TOTAL 14,402,251
    10% PRIFIT - 1,440225.12

    Total selleng price = 15,842,476.32

    ReplyDelete
  9. tusipende kukatishana tamaa,wewe kama unaona bei kubwa usinunue,mambo ya oooh mayadi kibao,mara haina alloy wheels,kwani nani asiyejua hizo yard,watu wamekupa simple maths lkn huelewi,sidhani hata kama unajua gari inavyonunuliwa na kulipiwa

    ReplyDelete
  10. Check gallery ya www.vivienneuk.com kuna V6 same model green colour £3000 mbaka Dar.
    Shipping paid, kazi kwako kuitoa customs...

    ReplyDelete
  11. Hii gari ni kutoka UK,ina viwango vyote vya kimataifa.Na kama upo interested kwa nini usiweke appointment kuicheki.Na wewe uliyeweka hiyo website ya hiyo gari ambayo unasema ni £3000 mpaka Dar ina depend hiyo gari ni ya mwaka gani na inawezekana umenunua kwenye minada ya magari yaligongwa.Kwa quality car 16milllion ni reasonable price unless uwe umesha zoweha magari kutoka Dubai ambayo any time yanafia njiani.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...