
Wiki hii nilipata fursa ya kupita huku na kule ndani ya kampasi ya pale juu Mlimani, Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (CKD a.ka UDSM). Kwa kweli nimeamini kuwa hiki ni chuo kikuu na kikongwe ndani ya bongo.
Taswira ya kwanza kukutana nayo ni ile hali ya hewa tulivu na mandhari ya kijani kufuatia mvua zinazonyesha hivi sasa inapendeza kweli. Vijana wanafanya makamuzi siyo kama enzi zile. Jengo la Nkrumah ni maarufu kwa wengi waliopata kupita mahala hapa.


kwenu.


wafanyakazi wengine wa shule hiyo kukabidhi msaada huo kwa baadhi ya wagonjwa wa saratani waliolazwa katika taasisi hiyo.

Picha na habari na mdau wa mlimani, Ramadhani Kitwana
Asante sana kwa hii makala. Sikujaaliwa kula nondo UD lakini nimepita mara nyingi na nakubaliana kabisa na wewe kuwa kuna mandhari nzuri sana ya kusoma na kuishi. Muundo mzima wa chuo kikuu cha Dar unadhihirisha uwezo mkubwa wa kutoa huduma za kitaaluma na utafiti - japo ziwe hazijafikia full potential yake. Naamini UD sasa inahitaji kupanuka kwa kuongeza kampasi nyingine Dar na maeneo ya karibu. Kama ningekuwa na uwezo, ningevigeuza vyuo vya IFM na DIT kuwa kampasi mbili kubwa za biashara na utawala (IFM) na Uhandisi na Teknolojia (DIT). Veta? Sijui inakwendaje!
ReplyDeletesuala la kusoma kwa mwanafunzi wa ud kipind kama iki wala huwa halishangazi...pale huwa wanatambaa na wiki na hela mfukoni!..sasa shule imekaba na bum wamefulia ni mwendo pasi ndefu a.k.a Lampard...hayo magazet ndo nimejionea hapa maana chuo kile WANAVOKABA na TUNAVOZIMA MOTO ukipoteza mda Sap zinakuhusu!!otheryz ungeenda pia mabwenini na Lecturerooms ushangaze umma!!Asante
ReplyDeleteMdau
Graduate udsm
Bsc in Telecomms Eng 09"
Kaka huo msemo ni origin ya Mother Teresa of Calcuta, ndiye alisema "charity begins at home"
ReplyDeleteMdau umenikumbusha mbali sana, mzee punch and all that stuff.
ReplyDeleteDo they still have those good monkeys?
Those jamaa walikuwa wanapenda sana kukutoa silesi za mikate asubuhi tulipokuwa tunapata breakfast pale Manzese.
When back I must visit that place!!
ndugu asante kwa kuifagilia UDSM. huwa sitoki ki-anonymas, lakini kwa leo mtanisamehe kwa sababu nitakazozieleza hapa chini.
ReplyDeleteUDSM ni kama mtu anayefagia halafu uchafu anautupa ndani. wageni mkija mtaona pasafi. mbali na mambo mengine, UDSM ni wakiritimba (pengine wachovu)kwa supervision ya dissertation. kuchukua miezi 40 kwa masters ni jambo la kawaida. hiyo ndio sababu inayonifanya nitoke ki-anonimasi kwani dissertation ya kwangu ipo mikononi mwao, ilhali masters nimeanza 2007.
UDSM inaelezwa vema na methali ya kiswahili 'Uzuri wa mkakasi, ndani kipande cha......'
ASANTE SANA UKIPITA SIKU NYINGINE MPE HI PROF NINATUBU MATHIAS LEMA, DR NYAORO NA PROF BARTON MWAMILA UJUMBE ............................ ASANTE SANA
ReplyDeleteMDAU JAN 11, 11:10:00AM - POLE NDUGU YANGU.
ReplyDeleteMASTERS DISSERTATION 40 MONTHS?? IS THAT 1ST SUBMISSION OR RESUBMISSIONS FOR SOME REASONS??
SOUNDS RIDICULOUS.
jamani kuna alimfahamu mdau wa pili alichosema? au ndio lugha ya wasomi?
ReplyDeleteHekima Ni Uhuru.
ReplyDeleteKwa watu waliohitimu hiki chuo tukazane tukirudishie hadhi yake.
HEKIMA NI UHURU
hao wenye computer hawasomi wala nini, wa kwanza kama yuko facebook. na wale wengine wanasikiliza nini ?
ReplyDelete