Mh. Membe na Balozi Kallaghe na mai waifu wao wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha Ottaw
Mh. Membe na Balozi Kallaghe na mai waifu wao wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha Ottaw
MichuziBlogV2Most read Swahili blog on earth
Mh. Membe na Balozi Kallaghe na mai waifu wao wakati wa hafla fupi ya kumkaribisha OttawTanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Kweli ubalozi ni mzuri kwani umembadilisha kabisa Peter Kalaghe na huwezi kujua ni yule alikuwa anakuja kwenye vikao vyetu vya ukoo (watu wa Misozwe) tunavyofifanya Club ya wazee Ilala. Sasa amekuwa kweli 'envoy'. HONGEA MGOSI. Ujumbe kwako ni kuwa baba mdogo wetu wa Magomeni mgonjwa sana. Zidi kumwombea.
ReplyDeleteNaomba uiweke hiyo stori vizuri.Bw Deepak Obhrai siyo waziri wa mambo ya nje ila ni katibu mkuu( permanent Secretary) wa wizara ya mambo ya nje na pia alikuwa kiongozi wa upinzani bungeni hapa Canada.Bw Obhrai alizaliwa na kukulia huko Mbulu, Tanzania kabla ya kuhamia Canada.
ReplyDeletenamuona muheshimiwa balozi alivyo pendeza, kumbe suti zinakutoa ile mbaya!!!
ReplyDeletemdau trono!!
Mheshimiwa Sokoine siku hizi yupo Kanada??
ReplyDeleteEeh! MUGABO Biefe McKenzie,
ReplyDeleteNa wewe kumbe uko ubalozini Canada, hongera sana.Sisi hatujambo UJIJI.
piere kalaghe Rais wetu wa awamu ya sita!!!! Go go go peter, you look nice!
ReplyDeletemdau wa trono umeniacha hoi na hiyo trono aka toronto
ReplyDeleteWadau wa Canada wasafi.
ReplyDeletena ule mjadala wa Uraia wa nchi mbili sijui ulifikia wapi? maana wenzetu waganda na wakenya wameshaupitisha na kuwapa huru raia wao kunufahika na uraia wa nchi mbele,lakini kwa wabongo bado mizengwe?
ReplyDeleteMama membe ameenda kufanya nini?
ReplyDeletenakuona togolani mavura unapaa tu.
ReplyDeletehureeeeeee!!!!! nimefurahi sana kumuona Joseph Sokoine....jamani kaka mbona bongo umetususa namna hiyo???? Chole Road tunakumiss sana haswaaaaa UNDP Flats.... Mzee Saidi bado yupo bana...ahahahahh
ReplyDelete