ankal na mdau wa ifakara, mororogo
Baada ya kupigwa sana madongo kwamba yeye anapenda sana kwenda vekesheni za ughaibuni, safari hii ankal anaanza world tour 2010 yake uswazi na ile pyeeeeee leo yupo ifakara kama unavyomuona akiwa na afisa biashara na teknohama wa chuo cha kimataifa cha afya cha ifakara, Kirungi Rutegtanya, jioni hii jijijni Ifakara. Hata hivyoankal anasema wadau msikonde kwani libeneke lipo kama kawa hata akisafiri kwenda mwezini....

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 18 mpaka sasa

  1. anko mithupu safi sana uwe unafanya vakesheni za ndani siyo kila siku wewe uko ndani ya AIR BUS au boinge halafu unajiita mzalendo

    ReplyDelete
  2. Kweli Ankal tumekukubali! Hiyo vekesheni itakuwa poa sana! Najua samaki na ubwabwa kwa sana huko! Turushie picha za huko tulione jiji la ifakara!
    Kila la Heri kwenye vekesheni yako ndani!

    Mdau,
    South East Asia!

    ReplyDelete
  3. Aminia babake kanyaga twende!!! usisahau taswirazz za kuku wa kienyeji huko ifakara wapowapo nshatiaga timu huko one day moja hivi years back wakati naishi bongolandi. ila be careful mafuriko nnjennje hapo we waulize wadau hapo kuhusu mto rumemo unafurikaga hadi sokoni mitaa ya kati hapo. waambie pia wakupeleke kibaoni kule kuku wa kienyeji wa kumwaga teh teh teh!!
    don't fogeti taswirazzzz za Pa...zzzz na ti...zzzzz kaka niko mtandaoni bado nimelitegesha kimtindo nakong'otea tu, njaa inauma kaka na si unajua mie sina gharama sihitaji mbogo ya kiukwelikweli mi ugali kwa picha tu ya samaki ngoma ntoleee.
    ubarikiwe kaka

    mdau wa pajazzz+titizzz

    ReplyDelete
  4. Dah mbona leo umejitole siri yako namna hiyo hujui kwamba wanajamii walikua hawajui kwamba huwa una safiri kwenda mwezini leo ndio umemwaga pyaa...............
    Mwezi huu utasafiri tarehe ngapi?

    ReplyDelete
  5. Ankal naona mambo yako si haba. Itabidi tuongee na Sir Richard Branson ili upate return ticket ya bure ya Virgin Galatic ili uende angani (suborbital space).

    ReplyDelete
  6. Wee ankal huna lolote.huko ndoo nimezaliwa mie.nenda mtaa pogoro au kossovo watakupa maelezo..nasikia umepata nyumba ndogo ifakara.sisi wadau tunaelewa.hio nyumba ndogo yako inaishi mlabani ndoo maana upo karibu na hicho chuo.poa.wasalimie wote.Ila uwe mwangalifu, watakunyoa nywele wandamba.wee waulize kuhusu bibi.Usisahau kupiga picha lumemo darajani.enjoy.

    ReplyDelete
  7. Uncle Ankal tunaomba picha za Ifakara, nilikaa Ifakara miaka 10 iliyopita, asante.

    Mdau

    Finland

    ReplyDelete
  8. Hee?? Huko Ifakara hakuna mafuriko??Tuletee wali na pegere ankal.

    ReplyDelete
  9. 'World Tour' or 'National Tour' nisadieni jamani

    ReplyDelete
  10. Kaka mie naomba ufike pale kivukoni uninunulie ngarange. Najua mwezi huu pepeta hadimu, lakini ukiuliza wenyeji wanaweza kuwa nazo bado za wageni.
    Kila la heri

    Mdau
    Cardiff

    ReplyDelete
  11. Ankal,
    Ombi la wengi ni taswiraz za Ifakara na vitongoji vyake. wape wadau kitu wanachokipenda.
    All ze best ktk vekesheni yako

    tembeatz.blogspot.com

    ReplyDelete
  12. Abiola wa Kuchovya, Mikanjuni TangaFebruary 12, 2010

    Ankal, nasikia umekwenda kutafuta ndumba kwa ajili ya uchaguzi mkuu ujao!! Teh Teh Teh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    ReplyDelete
  13. Michuzi hongera sana bwana kwa uzalendo. Umefika ifakara wenyewe wanapaita Ifoza,hapo pilika kwa sana usisahau kufika kivukoni kwenye pantoni ya mto kilombero kwenda mahenge/ulanga. Hapo ni maarufu kwa samaki wa kukaanga wa motomoto wanaitwa ngalange. Ukienda hapo usisahau taaswira,na najua lazima utaandaa ziara nyingine huko ifoza maana samaki ni watamu wa maji baridi.

    Mdau washington dc

    ReplyDelete
  14. MKUU MICHUZI PICHA YA PILI INAONYESHA UNA KITAMBI, PLZ PUNGUZA MAUGALI NDUGU YANGU

    ReplyDelete
  15. Kaka michu, hao ma- anonymous wanajifanya wako mara cardiff mara DC hakuna lolote, wapo hapa bongo. Achana nao, hebu fika pale soko mjinga, utapata vitoga, ulete kaka. Msalimie huyo Kivuyo.

    ReplyDelete
  16. tunasikia mzee jacob zuma ana mtoto nje ya ndoa je ni kweli?

    ReplyDelete
  17. HAKUNA LOLOTE NI SAFARI YA KWENDA KWA MAMA KALEMBWANA TEEH TEH,TUMEKUSHIKIA SIO NATIONAL TOUR,BALI UMEKWENDA KURECHARGE. SIO MCHEZO HUKO KWA MAMA KALEMBWANA,NAOGOPA CCTV ZAKE ZISIJE NIONA BURE.
    MDAU WA LUSUNGO KYELA.

    ReplyDelete
  18. UNANIKUMBUSHA MBALI MIAKA HIYO NIKO KWA WAJOMBA LIAMPAWES , NILIKUWA JONGO PRIMARY MWAKA MMOJA 1986/87 LIFE WAS GOOD. KUKOBOA MPUNGA MASHINE ZA MZEE KINDNDINDI UKITAKA MAHALI PA KULALA NDUBARO BASI LA KUSAFIRIA SHARUKSI, UKITAKA NGALANGE NENDA KIVUKONI. NILIKUWA MTOTO/ PA MTU WA NYANGA (BOOKWORMS) 24/7 VIWANJA SIKUVIJUA

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...