keki ya hepi besdei ya kuzaliwa patrick vieria kobole huko Tabata, Dar
patrick vieira kobole akikata keki yake leo

akimlisha mdau



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Hongera sana,mtoto mzuri.hope miaka na miaka itapita.
    Hongereni pia wazazi,kwa kubuka siku ya kuzaliwa mtoto Pat.

    ReplyDelete
  2. Kweli wahenga walisema BITOZ NYANGEMA anataka aitwe 2pac.haya hongera Bwana Patrick.

    ReplyDelete
  3. hongera dogo,
    ila wabongo kwa kuiga majina ya super stars....

    ReplyDelete
  4. sio wabongo duniani kote hakuna jina jipya majina mengi tunapewa kutoka kwa waliotutangulia either katika vitabu vya dini mf musa yusuf au mashujaa wowote waliopo sasa duniani mfano mandela,julius,mugabe na mtaani kwetu kuna mtoto anaitwa michuzi,hongera mtoto patrick,nimeipenda muundo wa keki yako.

    ReplyDelete
  5. Kila ninapowaona watoto ndani ya Tanzania machozi uwa yananitoka , kwani future yao imeshaharibiwa na wabinafsi wachache

    ReplyDelete
  6. Hongera pat,nakumbuka nilikuona ukiwa mchanga kabisa.
    bibi mbeya

    ReplyDelete
  7. Hongera Patrick, mie nimeipenda keki yako pamoja shati ulilovaa very classic,hata nguo za huyo mdau anayerishwa keki.
    Pongenzi kwa wazazi wako pia,wanaonekana wanjari sana,hope hata shule mtakuwa mnasoma nzuri,sio za kata.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...