JK akisamiliana jana jijini Dar es salaam na Waziri wa Ardhi , Nyumba na Maendeleo ya Makazi Captain John Chiligati na Mzee Kingunge Gombale Mwiru katika Arobaini ya Simba wa Vita Mzee Rashid Kawawa nyumbani kwake Madale jijini Dar leo
JK akiwa kwenye hitma ya Simba wa Vita Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa jana jijini Dar. Wengine ni Mtoto wa Marehemu Vita Kawawa (kulia) na kushoto ni Sheikh wa Mkoa wa Dar es salaam Sheikh Mussa Salum.

Baadhi ya viongozi mbalimbali waliohudhuria Arobaini ya Simba wa Vita Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa iliyofanyika jana jijini Dar es salaam na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali Baadhi ya wakina mama wakiwa katika hitma ya hitma ya Marehemu Mzee Rashid Mfaume Kawawa iliyofanyika jana jijini Dar leo


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...