mdau John Japhet Mbaga akiwa na mai waifu wake baada ya kumeremeta katika kanisa la KKKT Mwanayamala jijini Dar wakiwa katika mnuso wao wa nguvu hoteli ya Istana. Bi harusi anafanya kazi kampuni ya Kearsley Travel and Tour tawi la Southern Sun (zamani holiday inn) bw harusi ni mfanyabiashara maarufu jijini
Dayness akimvika pete mai hazbendi wake
maharusi na wapambe wao wakipozi na mchungaji baada ya kumeremeta
keki yakatwa
maharusi na wapambe wakipiga chiaaaazzzz...
meza kuu






Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 12 mpaka sasa

  1. kaka samahani hii ni ndoa ya kwanza au wanapasha kiporo make age zao wote naona ziko juu sasa miaka 45+ ukizaa mtoto wa kwanza baada ya miaka kumi baadaye uanastaafu watoto wanabaki kwenye njia panda hata kama ni myumba au bishara unafanya ukishiwa nguvu hata hamu uisha.age inamata kwa mambo mengi ila wamependeza ongera zao

    ReplyDelete
  2. Watu wazima hongereni sana kwa harusi. Inapendeza.

    ReplyDelete
  3. du mtu mzima kachukua jiko? ongera sana

    ReplyDelete
  4. Kumbe na wazee wamo pia....KKKT bia za nini?

    ReplyDelete
  5. Watu hawachoki kusema. Mapenzi jamani hayana age,ina maana ukizeeka usipendwe tena?au usiolewe tena?mmependeza na hongereni.

    ReplyDelete
  6. Ginfizz cha ajabu ni kipi?
    hayo mambo ya kawaida sana tu,,, ni vyema wamehalalisha.

    ReplyDelete
  7. Alaaaa kumbe wamehalalisha kilikuwa cha haramu sio - anyway KWARESMA hoyeeeeeee! shuti watu wajisafishe nakujiweka sawa maana mwanangu karibu harusi zote wiki hii mh za kiaina aina

    ReplyDelete
  8. AN OLDMAN NEEDS LOVE TOO!!

    ReplyDelete
  9. Ndoa za utu uzimani ndio zinazodumu.ujanani nyumba ndogo nyingi,na kelele nyingi ndani ya nyumba.

    ReplyDelete
  10. KAKA MICHUZI, IAM SO HAPPY FOR THEM.. NYIE WAOSHA VINYWA MTAKALIA HAYO HAYO TU.. HONGERA SANA MAMAA DAYNESS.. NDOA NI BARAKA TOKA KWA MUNGU, IPO MIJITU KIBAO INATAMANI KUOLEWA NA HAIOLEWI KODOO.. KAMA KUNA MWENYE WIVU BASI ALE WEMBE.. UTU UZIMA DAWA BABU.. KWA RAHA ZAO..
    Its me co-worker
    Brrrrr

    ReplyDelete
  11. Hongera John Mzee wa Baru Lama kwa kuchukua jiko age isiwe kigezo cha kufanya msioane, Inshallah Mungu ajaalie iwe ndoa yenye baraka , ma haters ni wengi watabaki hivyo hivyo kuwa Manunga embe na makokwa embe .
    tupo Mazii filemou kashtee kalaa.

    mdau UK.

    ReplyDelete
  12. hongereni sana wanandoa lakini mimi shida yangu ni kupata contact za mchungaji alieonekana kwenye picture. nilisoma nae na alikuwa choir master wangu

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...