
Miss Tanzania 2009/10 Miriam Gerald na rafiki yake Kenedy Victor ‘Kenny’, leo wamepandishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Wilaya ya Kinondoni kwa mara nyingine, ambapo kesi yao ya kushambulia na kuharibu mali na vyombo vya muziki vya bendi ya Volcano Sound, vyenye thamani ya zaidi ya shilingi laki saba ilitajwa.
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 21
Kesi hiyo imeahirishwa hadi Machi 21
na washtakiwa hao wanaendelea kupeta kwa dhamana.
Kenny na Miriam walitinga mahakamani hapo majira ya saa 3 asubuhi, wakiwa katika gari moja aina ya Harrier yenye namba za usajili T 178 BDV na baada ya kuingia walianza kushangiliwa na mahabusu waliokuwa wakifika mahakamani hapo wakiwa katika mabasi ya Magereza.
Kenny na Miriam walitinga mahakamani hapo majira ya saa 3 asubuhi, wakiwa katika gari moja aina ya Harrier yenye namba za usajili T 178 BDV na baada ya kuingia walianza kushangiliwa na mahabusu waliokuwa wakifika mahakamani hapo wakiwa katika mabasi ya Magereza.
Haiwezekani kesi ikawa tarehe 21 Machi, 2010 kwani itakuwa siku ya Jumapili. Ofisi za serikali ikiwemo Mahakama TZ hazifunguliwi jumapili
ReplyDeleteHakimu kasoma kalenda ya mwaka jana...hahah!!
ReplyDelete-Mdau Wakudumu
Au ni wewe ISSA ndiye umechemsha kunakili? Wadau wako makinii na issue!Hawadanganywi.
ReplyDelete