sehemu ya wakati wa mazishi ya Marehemu Mama Salma Hilary Ajmi, mama mzazi wa Juhayna Ajmi, mke wa Mkurugenzi mkuu wa Clouds FM Joseph Kusaga, aliyefariki majuzi, yaliyofanyia jana jioni makaburi ya Ngazija Upanga jijini Dar. Mola aiweke Roho yake mahali pema peponi - Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. Innalillahi wainna ilayhi rajiun poleni sana wafiwa

    ReplyDelete
  2. Inalilahi wainna ilahi rajiouna - Pole kwa wafiwa - lakini tafadhali correct hilo jina la marehemu ni Bi Salma Hilal Ajmi -
    Shukran

    ReplyDelete
  3. Shukran kwa tangazo - lakini tafadhali correct jina la marehemu ni Bi Salma HILAL Ajmi -

    Shukran

    ReplyDelete
  4. hehe jamani imebidi nicheke...huyo aloandika 'Hilary' atakua ni mmatumbi......ndio yaleeeeeeeeeeeeee 'L' kaweka 'ARA'

    heheeeeeeeeee..................kwa kweli!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...