

Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
pao imetuliaa,dezo dezo katafuteni maktaka,
ReplyDeletenimefurahi sana na tangazo hili kwa sababu mijitu bibaba mijitu mizima inapenda kusoma magazeti bure bure wakati wenzenu wanahangaika na biasha kutafuta kula yao na family yao.
mdau kutoka New York
nilikuwa muuzaji wamagazeti kabla sijapata zari ya kuja huku utumwani.
kwa mkwara huo lazima ustadh apige breki za mbuzi kwanza asikilize kwa mbali
ReplyDeleteHahaaah Ustadhi anaona duh leo Hakuna Cha Bure kusoma nitaenda kusoma wadau kwa Ankal Inshallah. Seif.
ReplyDeleteUstaadh naona anakivutia uradi hicho kibanda ili akifika pale yule muuzaji asimshtukie.haha ahah ahaha imetulia sana.
ReplyDeleteUSTADHI KAFANYA USTAARABU YEYE KAELEWA KWAMBA KWAMBA GAZETI LA MEZANI NDIO UNATOZWA SH 2,000 KWAHIYO ANASOMA YALE MAGAZETI YALIYOKUWA KWENYE KAMBA YA KATANI HAHAHAHA. PAZI.
Hii kali sana....Ustaadhi naona katia pozi la kutia uruma ili muuzaji amwite..."njoo soma chapu chapu alafu uondoke kabla ya watu kujazana hapa..." Halafu hii barabara bado iko kwenye ujenzi au ndio imeshakamilika hapo?
ReplyDelete-Mdau Wakudumu
..KWELI KABISA USTAADHI NI MJANJA SANA.. ANASOMA MAGAZETI YALIYO JUU YA KAMBA, TANGAZO LINATIA MKWARA KWA MAGAZETI YA MEZANI. HAPO HAWEZI KUMSTAKI WALA NINI . ILA LAKINI NAYE ANA MACHO! HIYO DISTANCE NI TISHIO KUONA MAANDISHI... DUH
ReplyDeleteHata ukiwa umejikalia bar au ndani ya daladala unasoma gazeti lako, unaona mtu aliyekaa jirani na wewe naye ananyoosha shingo kusoma. Hii ni tabia mbaya sana. Yaani mijitu mingine sijui ikoje
ReplyDeletehahahhahahaaaa kazi kweli
ReplyDeleteFrom paris to ny jhb to london same story kama upo ktk public transport unasoma gazeti watu watasoma kinyemela tu sio Africa tu
ReplyDeleteDuh ustazi ananiua alivyo simama mikono nyma tumbo mbele saaaana.Inaonekana alikua ametoka kupata dinner ya mchana.kashiba kufa mt.
ReplyDeleteteh teh teh..kusoma pale pale buku 2,kununua mia 4.hahaha.next week ustaadhi atatumua "kiona mbali".atakaa mbali na "kigoda" chake then anakula chabo "kistelingi" kama Chuck Norris ktk Missing In Action.
ReplyDeleteMichuzi hii picha ya Ostaadhi imenikumbusha enzi zile miaka ya 1980-90 ukipiga picha za matukio mitaani. ulikua unakuja kwenye Daily/Sunday news na picha kama izi. mtu anapigwa picha bila kujijua, anashtukia yupo gazetini na tukio analofanya.Siku hizi umepanda lank na picha za mitaani hatupati tena.
ReplyDeleteOngera Mr Mjengwa kwa nice pic.
twiiii tweeeee... hii babu kubwa.... inabidi na kwa hair dressers hiyo iwepo manake kuna mijitu inaenda kupinga upepo wa feni tuu... hahhaaa
ReplyDelete