Pole kwa kazi bro.
Tafadhali sana naomba kutumia blog yako, kuomba msaada kwa watumiaji wa blog yako. Ombi langu ni kwa wataalamu wa kilimo au wakulima wazoefu waniambie kama ardhi ya Mkoa wa Pwani Kisarawe, au Mkuranga yanaweza kufaa kwa kilimo cha vitunguu.
Pia kama kuna mtu ana publication zozote za kilimo bora tafadhali anisaidie kwa e mail yangu hii.
Thanking you
Regards
Jackson Samson
fairjacksam@yahoo.com
Tafadhali sana naomba kutumia blog yako, kuomba msaada kwa watumiaji wa blog yako. Ombi langu ni kwa wataalamu wa kilimo au wakulima wazoefu waniambie kama ardhi ya Mkoa wa Pwani Kisarawe, au Mkuranga yanaweza kufaa kwa kilimo cha vitunguu.
Pia kama kuna mtu ana publication zozote za kilimo bora tafadhali anisaidie kwa e mail yangu hii.
Thanking you
Regards
Jackson Samson
fairjacksam@yahoo.com
iNGIA HAPA http://mitiki.blogspot.com/2009/11/vitunguu.html kama unataka maelezo zaidi tuwasiliane
ReplyDeleteNawapeni pongezi wadau wote wawili kwa kushirikiana kujenga, aliyeomba msaada tutani na mdau wa kwanza. Tunaweza kufika mbali zaidi kwa mtindo huu kuliko kutegemea wawekezaji.
ReplyDelete