Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ndugu Josiah Mufungo (kushoto)akimwonyesha Maktaba ya Ofisi yake Mkurugenzi Msaidizi na Msajili wa Magazeti wa Idara ya Habari (Maelezo) wa pili (Kushoto) Ndugu Raphael Hokororo alietembelea Ofisi hiyo kwa ajili ya kujifunza,na wa pili((Kulia) ni Msajili Msaidizi wa Idara ya Habari Ndugu Ismail Ngayonga,aliefutana nae.Na wa kwanza (Kulia) ni Mkutubi wa Maktaba hiyo ndugu Mussa Hassan akielezea kitu kwa Mkurugenzi huyo leo jijini Dar.
Mhariri Mtendaji wa Kampuni ya Uhuru Publications Ndugu Josiah Mufungo akiwa Ofisi kwake ( Kulia) wakati wa mazungumzo na Mkurugenzi msaidizi na Msajili wa Magazeti wa Idara ya Habari (Maelezo) wa (kwanza) jinsi Ofisi yake inavyofanya kazi ,Mkurugenzi huyo alienda kujifunza na kujua shughuli mbalimbali zinazofanywa na Gazeti la Uhuru .Na wa pili (kulia) ni Msajili Msaidizi wa Idara ya Habari Ndugu Ismail Ngayonga aliefuatana na Mkurugenzi huyo

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Du! Ofisi imekaa ki mwaka 80 hiyo.. yani ukiondoa ile kompyuta pale.. na kile kiti cha mchizi.. inakuwa ni 80's kabisa

    ReplyDelete
  2. Duh!! ofisi imechokaaaaaa!! waya zinapita ukutani bila dressing...mlango wa kizamani!! furniture zimejochokea, Bila kuuliza AC hakuna hapo ndani...duh!!!

    ReplyDelete
  3. Kweli hizi ni ofisi za gazeti la Uhuru, bado wanaisha ka' wakati wa Uhuru. Ash tray and flowers on the table, classic!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...