Mufti Mkuu wa Tanzania Sheikh Issa Shaabani Simba akiwa jijini Cairo, Misri, muda mfupi kabla ya kurejea Tanzania baada ya kumalizika Mkutano Mkuu wa 22 (The 22nd General Conference Under the Title The Objectives of Shariah(Islamic Law And Issues of the Contemporary Age).

Mkutano huo ambao ulianza siku ya 22-25 February 2010 sawa na 8-11 Rabi Al-awwal 1431H.
Mkutano huo ulifanyika Katika Hoteli ya Conrad jijini Cairo ambao ulijumuusha Masheikh na Viongozi wa Wakuu wa Nchi mbalimbali. Mkutano huo ambao ulianza siku ya 22 na kuisha 25 February 2010 sawa na 8-11 Rabi Al-awwal 1431H.
Vivile Mufti Mkuu alitumia nafasi hiyo kwa kukutana na kusalimiana na Wanafunzi na Wataanzania mbalimbali ambao wanaaishi Nchini humo
Mufti akisindikizwa na baadhi ya wanafunzi wanaosoma Misri

Mufti akiwa na baadhi ya wanafunzi aliokutana nao Misri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. ZIARA YA MUFTI MISRI 4-01-1970!INAELEKEA WANAFUNZI WALIKUWA 1970?

    ReplyDelete
  2. Though I am a christian (Catholic), I really admire this man. I like homilies. May God bless him always.

    ReplyDelete
  3. mbona tarehe ya picha ni ya mwaka 1970????????????!!!!!!!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...