Bosi wa Old Mutual JP van Niekerk akiwa na mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya Keys Bi Triza Ndesamburo kabla ya kukabidhi msaada wa viatu na fulanazzz
wasaidizi wa kupandisha watalii mlima Kilimanjaro,wa kampuni ya Key's wakifurahia msaada wa viatu na bosi wa Old Mutual
wasaidizi wa kupandisha watalii mlima Kilimanjaro,wa kampuni ya Key's wakifurahia msaada wa viatu na bosi wa Old Mutual
wasaidizi pamoja na mfadhili JP Van Niekerk wakionesha mabuti waliyopewa msaada na kampuni ya Old Mutual ya Afrika kusini.
Hongereni sana Keys. Mkurugenzi wenu ni Mrs Trize Ndesamburo ama Mrs Teize Deus Mworia? hebu tupeni taarifa sahihi
ReplyDeleteinaelekea ndugu zetu walikuwa wanapanda mlima nd ndala mguuni noma mpaka kaburu aje kutoa buti lol
ReplyDeleteOld mutual ndo kampuni kubwa kuliko zote sauz kumiliki ma bank majumba insurance kwahio mpo ktk safe hand buti zikiisha nunueni nyengine msisubiri misaada alafu function yenyewe ilikuwa kitamboo last year ndo inatolewa ktk news sasa
Thanks for your good hospitality our friend from South Africa.Welcome to Tanzania the land of Kilimanjaro, Zanzibar,the Serengeti and the business bridge to great lakes countries via Dar es salaam Port.
ReplyDelete----------------------------------
mcraynjau@gmail.com
msaada wa viatu toka ughaibuni,,,
ReplyDeletehaki ya nani vile