



Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Mbona hujasema mwaka na sehemu waliokua. Ni wale walifika Iowa mwaka sijui 95 au 96? Tulienda kuwaona wachezaji wakicheza sijui ilikua ni college gani vile? Lakini ilikua Iowa.
ReplyDeleteRIP
Nakumbuka Pazi ilipokuja tulienda kuwaangalia pale Wartburg College Iowa wakicheza na team ya shule ya pale. Bahati mbaya walipgiwa bao.
ReplyDeleteVitalis inabidi hii timu ifanye re union na icheze mechi mtukumbushe enzi za akina magazeti,tiger,tom,abdallah aboud etc this will be very good tribute for the father of basketball i Tanzania
ReplyDeleteEnzi ya Pazi basketball namkumbuka Marehemu Yusuf Omari (1985) wachezaji mahari sujui kama mchezo huo unaendeleshwa nchi kupitia makocha hodari kweli tunaweza sana kufika mbali kimataifa ukihamasishwa .
ReplyDeletewewe patrick embu nitafute
ReplyDeleteDuuuh, hii picha imenikumbusha mbali sana. Pazi ni timu ambayo ilitikisa sana miaka ya 90 and natumai mpaka sasa inatesa (siko sure as sijafuatilia basket baada ya kuwa mvivu kwenda Taifa). Kuna jamaa mmoja hv mzaire alifariki miaka hiyo ya 90, jina lake limenitoka kidogo, alikuwa soo mbaya. Patrick Nyembela mzee wa Channel 5 enzi zake ilikuwa balaa tupu. Mbaga Mwamboma, Vitalis (umekimbia kabisa bongo) tunawapa saluti kwa kuibeba pazi enzi zenu. Mzee Serve Malai, RIP. Tunakukumbuka sana, kwa mchango wako kwa vijana hawa wa Pazi, wengi wametoka shavu kwa sasa, kutokana na efforts zako.
ReplyDelete1. hii ndi trip ambayo abbas mansour na marehemu tambwe walinyimwa viza.
ReplyDelete2. hii ndio trip ambayo shabani kazumba alipata klabu. lakini akataka aje dar kwanza 'wamwone'. matokeo yake, nauli tu ya kurudi marekani ikawa mzozo.
3. mzee malai kuna siku akawaambia pazi, hivi mlitaka niseme, "wewe baki, wewe baki, wewe baki". yaani timu nzima ilirudi!!!
tunaomba location ya walipovisit walipokuja huku..!!
ReplyDeletemichuzi nisaidieni niweze kupata taarifa za nyuma,,,natafuta ile news ya RADAR malipo yaliyorudishwa tanzania
ReplyDeletenimekumbuka zamani sana!
ReplyDeleteenzi hizo nakwambia tunaenda kuangalia basket zanaki, basi wavulana walikuwa wanajiona keki! kina Gunda walikuwa wanasoma sijui azania, kina Delphinus,Marehemu Hunter.......Shempemba nikikumbuka!
it was so fun, at that time wengine wanacheza basket, wengine wanatukuza bangi, kina shetani Tambaza!!
Daa sio siri yaani machozi yamenitoka hasa nikiangalia hizi picha...Hii ilikuwa pazi iliyokuwa inaishia ishia.hivi hawa jamaa wapo kama Thomas Shempemba,Patrck,huyo Abbas Mansour naye yupo jamani mara ya mwisho nolisikia yupo Austaralia.wapi kissoky?yaani kuna watu hata majina nimewasahau plz mdau mwenye kum´wakumbuka atupe majina zaidi.
ReplyDeletemdau Uswidi.
Hii ndio Pazi ya Mzambarauni, pale jirani na Movenpick Hotel. Nakumbuka entry ya uwanjani ilikuwa kwenye kona ya barabara ya Ohio na Ghana Avenue!. Wakali wa wakati huo, Tom Shempemba(Yellow Man), Sidney Kikenya, Abdallah Aboud (Kocha), Hassan Kange, Pacheli, Hassan Tiger, Grace Magoti(RIP), Mary Njohole, Namsifu Mndeme, Conso Henry, Vitalis Gunda (Mpongos), Patrick Nhigula (Magazeti), bila kumsahau mzee wa viroja na porojo, Teacher, mzee wa Kuzacha Worriors!
ReplyDeleteKwa kweli inatukumbusha mbali sana!Aziz Kateta yuwapi jamani.Angeanzisha ze komedi angekuwa BOMBAAA!He had a wild sense of humour!Nakumbuka kina Patrick Nyembela, Hassan Tiger,Vitalis na wenginewe wasio warefu sana waliulizwa kama wao wamesindikiza timu au wanacheza.Lakini waliopoona dribble zao na defense wamarekani na utall wao walitoa macho.Walifungwa ndiyo lakini they played a good game.
ReplyDeleteREUNION JAMANI!Zonga upo,Tom upo,Abdallah upo,Patrick upo na wenginewe pia...
kuna mchizi mmoja tulikuwa naye TAMBAZA anaitwa ADAM"KATOSHA" huyu nae alienda hii safari...huyu mchizi anaongea kama rediooo..alivyorudi mwezi mzima anaongea yeye tu pale tambaza.....
ReplyDeleteKATOSHA uko wapi we mchizi???
Hi vitalis Gunda nimefurahi sana kukuona.Ni siku nyingi zimepita.
ReplyDeletekila la kheri ya maisha may God Bless you and your family. msalimie Rahaba.
Baby.
Picha hii yanikumbusha mbali sana (1985-91) na machozi yanitoka.
ReplyDeleteL. Ind
UK
mdau ulie uliza Aziz Kateta huyo jamaa kweli alikuwa ni The komedi.Aziz anafanya kazi Tazara na yupo upande wa Zambia.Patrick Nyembela Yu wapi??
ReplyDeleteMdau Uswidi.
wapi Shaaban Kazumba?
ReplyDeletePatrick Nhigula-Magazeti,
ReplyDeleteHii ilikuwa historia kwa timu ya mpira wa kikapu ya Tanzania kufanya ziara Marekani. Hii safari ilikuwa nzuri sana na kama Vitalis una picha tulizopiga pale Chicago kwenye Hotel ya Michael Jordan weka basi kwenye mtandao. Mzee Malai alikuwa "Baba wa Basketball Tanzania" kwa nini BMT na Tanzania basketball association wasiwe na "Malai Cup" au Kimario "Cup". Sisi tupo Columbia, South Carolina na Ongera Pazi na tutaijenga upya.
BJ Hammer, simuoni hapo, au alishaanza enzi hizo?.
ReplyDeleteVitalist naomba tuwasiliane kwa namba ya simu +255 712 240042 msalimie Rahaba na Rehema mimi uncle Elikana
ReplyDeleteDuuh nimefurahi saana kukumbushwa enzi zile,ligi inapigwa railway gerezani mimi ndo nilikuwa secondary lakini nilikuwa sipitwi na mechi.Ndugu zangu wa city bulls vijana mpoo,tupeni zenu tukumbuke wa wakati ule.Nakumbuka hizo zama, ukiwa unacheza basket ball basi mademu wa upanga,o-bay,chan'gombe maduka ma2,unajichukulia tu
ReplyDeleteRIP Hemish we miss you boy !
ReplyDeleteMzee Malai,Yusuf Omar na Ray Ndanshau RIP.Hizi picha zimenikumbusha mbali,enzi hizo tunakwenda kuangalia mazoezi na mechi za basket pale kona ya Ohio/Ghana avenue viwnaj vya Gymkhana.Dar ilikuwa nyingine kabisa...!Sasa hivi nasikia giza likiingia kidogo tu hakupitiki kwa vibaka!
ReplyDelete