Home
Unlabelled
salaamu toka mpunguzi, Dodoma .
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Iko siku eeee....nitakuja kwa wazazi wako...kuleta barua ya uchumba mie...
ReplyDeleteIko siku eeee....nitakuja kwa wazazi wako...kuleta barua ya uchumba mie...
ReplyDeletecarmen unatoka mji gani hapa ujerumani.
ReplyDeletenitumie mail hapa
konradcash@yahoo.de
Michuzi, na wewe.... Kitu km hiki unaweka na email address yake au simu. Sasa picha tu hivi itatusaidiaje? Siyo vizuri mkuu. Kwa Jovi alishaolewa? Mbona hukutupa mrejesho?
ReplyDeletewooohh!!am from the same village....thanx to have the representative lyk carmen....keep run carmen!!
ReplyDeleteDAVID J. NDAIGA
ndaigadavid@yahoo.com
huyo walahi siyo mgogo! mrembo hivyo?
ReplyDeleteagwe! tutaonana
no comment
ReplyDelete(US Blogger)
wacha uongo wako wewe michuzi,eti model kutoka dodoma.
ReplyDeletemdau
duniayetukubwa.blogspot.com
kaka michuzi mie natokea zanzibar nipo frankrut na somea udakitari wa wanayama ni vyema kama utaniukutanisha nae huyu binti ili tuweze kudumiasha mungano kwani nahisi una mongonyoka kidodgo kidogo
ReplyDeleteNaitwa Makame Abdul Kadir email yangu ni Mekeykadir@yahoo.de
Carmen uko ujerumani mji gani? unasoma chuo gani?
ReplyDeleteHivi ile sikukuu ya wajinga inaguwaga tarehe ngapi?
ReplyDeleteAnkol uko bombaa!!!!!!!!
ReplyDeleteAnkol uko bombaa!!!!!!!!
ReplyDeleteMdau wa Pajazzzzz umeona kitu hiyo made in Bongo? Sasa likizo hii usicheze mbali, rudi nyumbani fasta
ReplyDeletembukwenyi agwe,kudya chichi kuko mbona ulimswanu
ReplyDeletehuu unaitwa uumbaji wa mwenyezi mungu khaaaaa!!!!
ReplyDeletevillager
Anonymous said...
ReplyDeletehuyo walahi siyo mgogo! mrembo hivyo?
agwe! tutaonana
Fri Feb 12, 12:44:00 AM
Wewe Anon nani alikwambia wagogo siyo warembo? Basi kwa taarifa yako wagogo ni warembo sana. Ningekufahamu ningekuletea kundi la mabinti wa kigogo uwaone jinsi mungu alivyofanya kazi yake. Japo Michuzi hajasema kama huyo wa pichani ndo mrembo mwenyewe wa dodoma, amesema salam toka dom.
ATAFUNIKA MAMODEL WOTE WA BONGO SI UNAONA GUUU HILO JAMAA KIMEUMBIKA HIKI AAAH WAAAAAAUH
ReplyDeleteankal ;naomba tunaomba updates za sauti za busara .... naona kimya !!!
ReplyDeletendiyo maana wanaume wa bongo mie no no no wakiona mdada mzuri tu tayari na email zenu mmetoa, kwani dada wa watu amewaambia anatafuta mchumba? kujigonga tu, tulieni na wabantu wenu huko.
ReplyDeletehahahahaa leo maajabu binti kasifiwa hakuna uchafuzi apa leo..ila inakuweje mtu unajitoa picha yako just like th bloguni??
ReplyDeletebiashara ni matangazo nn?
dada hongera u mrembo ila unaonekana half-cast sidhani wee mgogo per-see...
eti supa modo toka dodoma nilishtuka kwakwel
Dada mimi nipo Uk Mzima kabisa, hofu na mashaka kwa wewe ulie mbali. Naomba tuwasiliane kwani natafuta mchumba....
ReplyDeleteEmail yangu ni dogodogo@yahoo.co.uk
nitafurahi kama utaniandikia
duu,dada angu kabisa huyu,na mi natoka huko huko dom,agwe ulimnya mpunguzi kweli?ta melanye lilyo li email addres lyako nokutumila nane lyangu haha ulimzeru gwe mdala gwee!!! muwaha mulungu yakutazee mhinza!!!
ReplyDeleteemail addres lyangu titusboniface@yahoo.com
Nataka kitu ka hiki, maanake shule imepanda, mtoto bomba na nikifanikiwa kumnyaka kwa heshima zote na taadhima, tutakuwa na uwigo mpana wa kuzungumzia vitu, siyo mipasho tu hata mambo mengine mengi pia ya ilim duniya.
ReplyDeleteMaana unaweza kukuta kitu sura nzuri lakina upeo wake ni mipasho tu, huwa ina-'bore'.
Michuzi mpatie bibie email yangu na mgogole wa mshenga tutakupatia.
Mdau
Jijini London.
anatoka Dodoma? sisi wote tunaotoka Dom tunajuana ukimtazama tu katika kipaji cha uso utajua mtu wa dom,kuna ile naniiini?
ReplyDeletesasa huyu wa dom mwezetu kulikoni?
wewe Mod jipakazie unatoka Dom,muhulize x-miss Tz richa,
ReplyDeleteusije ukatafuta wakili wa kukutetea barazani hapa we hayaaaaa tu
wewe daktari wa zenji ndani ya frankfurt mbona e-mail yako haiendi,jaribu yangu managua94@yahoo.com
ReplyDeleteNakubaliana na Anonymous 11:27.
ReplyDeleteYaani one picture ya mdada wa watu mnatoa email. What's next? Home address? Picture?Bank account statement? Be careful, this is the internet, refrain from giving out your personal information.
She's a model.Not a cow for sale. All that glitters is not gold. Ukimwi utawauwa nyie!!! Sisemi kwamba ana ukimwi but i'm just saying you jump straight to "I WANT TO MARRY HER!" instead of "I would like to get to know her". You skip all the important steps.
Anyways good luck girl. You're gorgeous.
wanaume wa bongo wakiona mapaja tu chupi zinawadondoka je mngemuona CLEOPATRA,dada wala usiwape e mail yako maana wenzio wanafikiria uroda tu
ReplyDeletekumbe kuna watanzania wanaweza kumshinda hata naomi campbell!du dada naomba e mail yako mimi yangu ni makoye@yahoo.com nipo USA
ReplyDeletedu jamani dada mrembo huyu niko tayari kumpa mali yangu yote sijui atapatikana kwa njia gani?
ReplyDeletejamani acheni kutamani hiyo ni dhambi mwacheni dada wa watu labda tayari anaye wake kipenzi du ! ILA KWELI NI MZURI
ReplyDeletejamani uzuri wa mwanamke ni tabia hamjui hilo?
ReplyDeleteoh my god nlitaka kupitwa na hii kitu, heeh! one moment pliz i'll back g'me 10 minutes!! ngoja kwanza tuone utaratibu mzima unakuwaje make dah c'mchezo.
ReplyDeleteMdau wa pajazzz+titizzz
Anon wa Fri Feb 12, 11:27:00 AM hujui unachoongea. Mwanaume ni mwanaume, awe Mbongo au Mtasha. Mzuka lazima upande akiona kifaa kikali kama hiki.
ReplyDeleteMrembo modo wa Ujeremani na Dodoma, tafadhali tuwasiliane. Mimi ni pedeshee maarufu sana hapa mjini, tena bado kijana wa makamo wa miaka 40 tu. Naamini tutaendana. Nimeishi Frankfurt miaka miwili kwa hiyo mambo ya Ujerumani nayamanya. Maisha alhamdullilah mungu amejaalia ndio maana mpaka wengine wananiita pedejee. Pia nina moyo wa huruma kusaidia binaadam wenzangu wake kwa waume. Ila kwako mama naomba kuweka kituo.
Email yangu ni jsckeizer(at)yahoo(dot)com; Naamini u mjanja vya kutosha kuweza kuitafsiri email hii kisahihi, maana naogopa maroboti yasinishambulie.
Jamani mimi Naitwa James, carmen ni nanihino wangu wa karibu sana. Tafadhali, chonde chonde ndg zangu mnaoomba email address yake. Kwa taarifa yenu nina pass word yake. wewe tuma vijimessage vyako vya kujipendekeza, utajua nimuosha kinywa mbaya.wewe angalia na uappretiate kazi ya mungu basi. Ukitaka maelezo marefu wasiliana nami kwa email jmasakura2003@gmail.com. Nipo Berlin nasomea PhD ya mawasiliano.
ReplyDeleteDuh Carmen, I don't know what to say but what I can say- you're so beautiful.
ReplyDeleteheheheeeeeeeeiiiiiiih koh koh koh koh....doh salaaaale jizas kraist!
ReplyDeleteshoka moja mbuyu chiiini wa zamani nasema utajiiiju weeeee utajijeijei weweeeeee....shooka mooja mbuyuu chiini wajuzi nasema mtajiju weee mtalijua jiji nyieee ooooh naseema mtajijuuuuuu nyie mtajijuweee...teh teh teh teh aaaaaaanha!! ankal bwana!!. senkyuuu veeeeeere vere machi man!! nimekula nimeshiba now i can tolk teh teh teh teh teh huu muziki munene kaka usipime!!. kwa usawa huuu sijui nitoke vipi maana too machi confusions in mai head now hahahaaa dah hiki kitu mwanangu kimeua na kufanya cancellations ya alot of already planned actions kah!!! sa possibilities za kum-download huyu sijui zikuakua vipi, kwani anashuka bngolandi lini huyu kaka na atakuwa mitaa gani na kwa muda gani?? nisaidie kwa hilo serious na mawasiliano manake siyaoni ningeanza mapema communications naona ingelipa zaidi..teh teh teh dah ahsante sana ubarikiwe kaka ugali wa muhogo kwa taswiraz ya samaki hapa sahivi kitumbo ndiii nimeshiiiiba mwenyewe hii taswiraz kaka naitunza hapa ni kusongaga ugali tu while exploring the possibilities of downloading on permanent basis ha ha ha ha ama kweli michuzi blog idumu kaka siku yangu imekuwa nzuri huwezi amini yani basi tu.
ubarikiwe sana, vipi ifakala lakini kwema?? haya siku njema mungu akuzidishie uhai il libeneke la habari na taswirazzz liendelee daima. again senkyuu man niko mtandaoni mwanao lakini kwakweli kwa leo na kesho i don't nid no more kwani kwa hii upinzani utakuwa mgumu. zile za majuzi za kwenye uzinduzi wa chupa ya redds na zile za harusini ziko bench hapa ni ugali kwa mboga ya aina moja wiki nzima!!
cheers man big up sana
Mdau wa Pajazzzzz+titizzz
Ndugu zangu huyo dada hajatangazwa/hajatangaza kutafuta mchumba sasa sera zote za nini hizo?
ReplyDeleteAcheni hizo kwani haipendezi na huyu dada anaweza kuwadharau, anayebishi ataniambia mbele ya safari.
Ni mdau wa Bukoba,
Wagogo tuko juu kama kunguru nyieeeeeeeeee!!.wasukuma chupi zakudondokeni,na hivi mweupe,mzao wa DOM huo umenawiri kwa zabibu za mpunguzi.Mie naujua ukoo wake hapa mpunguzi,si kwa mzee Mwaluko pale!!
ReplyDeleteMafisi wamechokozwa na wamechokozeka.
ReplyDeletePedeshe mwenye huruma, mbona sijakusikia wakati tunakusanya michango ya Kilosa?
hahaha
Praise be to God. Let us thank God for His wonderful creation. It's no sin to marvel the beauty of God's creation.
ReplyDelete"From her mother's womb He (God) knew her. Psalm 139.
Kweli hili gonjwa la ukimwi litatumaliza, wote jamaa wanamtolea macho huyu binti na mnaomba contacts zake ili iweje, acheni umalaya jamani.
ReplyDeleteHaya na nyie wabantu, huwo weusi wenu hamupendi? baada ya kumuona huyu dada wote MNAMSHOBOKEA, kisa na mikasa nini lakini? HUYU MWENZENU KACHANGANYA, nusu MWAFRICA NUSU MZUNGU(EUROPEAN)wote mshoboka hasa mijanaume ya Kiafrica, Basi kwa mpango huo, wabantu wote wazae na white, ili ubantu upotee, IBAKI MBEGU KAMA HII, NUSU AFICAN NUSU EUROPEAN, si ndio hivyo mnavyotaka,
ReplyDeleteKWELI WAHENGA WALISEMA KIRUZI CHA JIUZA,USIONE VYAELEA, CHA MTU MAVI UKIKIONA KIOGOPE, YESU ALISEMA UKIONA UMEZINI,
ReplyDelete