Bofya Link hii hapo chini upate data kamili
http://www.webometrics.info/top100_continent.asp?cont=africa

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. Well, si mbaya, as I see it, its good. Lakini you have to make it clear kwamba hiyo ni ranking ya 'web presence' i.e it 'measures the activity and visibility of the institutions' na sio measurement ya educational services au quality ya chuo, because Cambridge itakuaje no. 27 wakati its no. 2?! Kwahiyo mkiendelea kubofya website ya Mlimani inaweza kupanda mpaka top 10 in Africa!

    ReplyDelete
  2. Duh SOMALIA MOGADISHU IPO wanasomea ninihuko KWELI ZARAU SI NZURI tunasema wa Nigeria na Ghana kimasomo wametuzidi kumbe hakuna kitu. MAKERERE Imeanguka kweli ya UGANDA. SEIF HASSAN

    ReplyDelete
  3. katka 100 ni vyuo viwili tuu vya bongo. UDSM (24) na SUA (82).


    Hivyo vingine mnavyovisifia eti ni bora kuliko vikongwe hivi mbona havimo? au uzalendo wa roho korosho?

    ReplyDelete
  4. Si mchezo, UDSM cha 3,750 duniani! Kimejitahidi ingawa kimeshuka kidogo kuna kipindi cha miaka ya nyuma kilikuwa chini ya hapo kidogo.

    ReplyDelete
  5. kwa mujibu wa 4icu.org university ranking za mwaka huu UDSM ni wa 10.
    fungua "http://www.4icu.org/topAfrica/" utapata data

    ReplyDelete
  6. Si ajabu kuona katika link zote mbili zilizotolewa na wadau katika comments zao ni vyuo viwili tu vya Bongo vimeingia kwenye top 100 ya Africa. Ndo ukweli wenyewe japo kuna baadhi ya wadau hawatoweza kukubali.

    ReplyDelete
  7. Hizo ranking ni unafiki mtupu! Katika www.webometrics.info, UDSM ni ya 24, Makerere ni ya 15. Ukienda www.4icu.org, UDSM ni ya 10, Makerere ni ya 28! Ranking zote ni za 2010. Ukiangalia US based websites, TOP universities ni za US, na ukiangalia UK based sites, TOP ni universities za UK!!

    ReplyDelete
  8. ukiangalia kwa world rank tunajitahidi sana africa maana america tu ina vyuo kama 6000,ambavyo watu huwa wanadhani ndio bora zaidi au europe.niko coventry uni sikujua kama tunaweza kuwa sawa na mogadishu university kwenye world rank du bora kurudi home tu.bongo tambararees

    ReplyDelete
  9. pamoja na hiyo http://www.4icu.org/topAfrica/ bado kuna vyuo viwili tu vya tz ktk hiyo top 100, sasa sijui mzumbe, st augustine, tumaini watu wanafanya nini duniani hata top 100 africa imewashinda? halafu mnakuja kuja kulalamika upendeleo wa kazi, sasa kidunia si saut siitakuwa ya 100,000

    ReplyDelete
  10. WATU WENGINE BWANA SASA UKIANGALIA USA BASED LAZIMA UPATE USA NI TOP SABABU NI TOP USA BASED ZA AMERICAN A UK NI TOP IN EUROPEAN TUMIA AKILI NA VYUO VYA USA NDIO VIKO JUU SABABU YA MAENEO BORA ELIMU NA UCHUMI WA HIYO SEHEMU OXFORD IMEANGUKA. UKITIZAMA AFRICA UTAONA SOUTH AFRICA.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...